07
Ramadhani Brothers kutua kesho Dar
Baada ya kufanya mambo makubwa na kuondoka na taji la America’s Got Talet: Fantasy League waruka sarakasi kutoka nchini Tanzania Ibrahim na Fadhili Ramadhani maarufu kam...
07
Ahama kwa wazazi na kwenda kuishi kwenye treni
Kijana mmoja kutoka nchini Ujerumani aitwaye Lasse Stolley (17) anadaiwa kuhama kwa wazazi wake na kwenda kuishi katika treni za ‘Deutsche Bahn’ kwa mwaka mmoja na...
07
Mr Blue: Marafiki waliniharibu
Mwanamuziki Mr Blue ameweka wazi kuhusiana na safari yake ya muziki ambapo amedai kuwa yeye aliharibiwa na watu (marafiki) ambao walikuja baada ya yeye kuwa ‘staa;.Mr Bl...
07
Dube aipa thank you Azam fc
Baada ya jana mshambuliaji wa Azam FC, Prince Dube kufuta utambulisho na picha zote alizopiga akiwa na jezi za timu hiyo, leo ameendeleza kuonyesha kuwa haitaki tena timu hiyo...
07
Zari na shakibi wamaliza tofauti zao
Baada ya kuzuka sintofahamu kwa wanandoa Zari pamoja na mumewe Shakibi kuwa wameachana, wawili hao wamethibitisha kuwa wapo pamoja baada ya kuonekana Saudi Arabia.Kupitia ukur...
06
Rema aweka wazi kuwa na tatizo la macho
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria, Rema ameweka wazi kuhusiana na uvaaji wake wa miwani kwa siku za hivi karibuni, ambapo ameeleza kuwa anatatizo la macho.Rema ameyasema hayo ...
06
Apple kuwalipa watumiaji wa iphone za zamani
Kampuni ya Apple inatakiwa kuwalipa watumiaji wa simu za iphone za zamani nchini Canada baada ya watumiaji kushinda kesi ya Batterygate kesi ambayo ilikuwa inaonesha kampuni h...
06
Dube afuta picha zote akiwa na jezi za Azam
Wakati sakata la mshambuliaji Prince Dube na ‘timu’ yake ya Azam FC likizidi kupamba moto, ripoti zinafichua kwamba Mzimbabwe huyo amefuta utambulisho na picha zak...
06
George alikataa kuwepo kwenye video ya Nicki
Nyota wa NBA kutoka nchini Marekani Paul George ameweka wazi kuwa alishawahi kukataa ombi la ‘rapa’ Nicki Minaj kuwepo katika moja ya ngoma zake.Paul alifunguka su...
06
Ayra kwenye ziara ya Chris Brown
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria, Ayra Starr amepewa shavu na mwanamuziki Chris Brown kuwepo kwenye ziara yake iliyopewa jina la ‘11:11’ ambayo imebeba jina la al...
06
Rule adai kuwa aliwahi kumpiga 50 Cent
‘Rapa’ Ja Rule kutoka nchini Marekani amedai kuwa aliwahi kumpiga mwanamuziki mwenzie 50 Cent katika moja ya pambano miaka ya nyuma.Rule kufuatiwa na mahojiano ali...
06
Michelle Obama akanusha kugombea urais 2024
Baada ya kuzuka tetesi kuhusiana na mke wa aliyekuwa Rais wa Marekani Barack Obama, Michelle Obama kutaka kugombea Urais 2024, Michelle amekanusha tetesi hizo kupitia ofisi ya...
06
Zuchu aomba radhi kwa jamii
Baada ya kuomba radhi kupitia ‘Lebo’ yake ya WCB kufuatiwa na kutumia lugha isiyofaa katika show yake ya Fullmoon Kendwa Visiwani Zanzibar na kupelekea kufungiwa k...
06
Rayvanny atoa shukrani kwa mastaa Paris
Akiwa anaendelea na ziara yake kwa ajili ya kufanya kazi na wasanii mbalimbali, mwanamuziki wa Bongo Fleva, Rayvanny ametoa shukurani zake za dhati kwa wasanii kutoka katika m...

Latest Post