09
Bondia Ngannou awaomba radhi mashabiki
Baada ya kupokea kichapo cha ‘Knock Out’ (K.O) bondia Francia Ngannou amewaomba radhi mashabiki zake kufuatiwa na kichapo alichopewa na Anthony Joshua, pambano lil...
09
Mfahamu tapeli aliyeuza uwanja wa ndege
Emmanuel Nwude ni mmoja kati ya watu waliaondika historia kubwa nchini Nigeria kwenye masuala ya utepeli. Taarifa kutoka Daily zinaeleza kwamba Nwude ambaye aliwahi kuwa mkuru...
09
Atengeneza ndege inayofanya kazi kama baiskeli
Mwanafunzi mmoja aitwaye Fusha Sakai kutoka Chuo Kikuu cha Umma cha Osaka kilichopo nchini Japani, ameibua hisia za wengi kwenye mitandao ya kijamii baada ya kutengeneza na ku...
09
Roboti Muhammad azua gumzo mitandaoni
‘Roboti’ wa kwanza wa kiume kuzinduliwa nchini Saudi Arabia aitwaye Muhammad azua gumzo kupitia mitandao ya kijamii baada ya kumpapasa ripota wa kike wa runinga ya...
09
Ngannou apigwa kwa K.O, Joshua amtaka asiache ngumi
Bondia maarufu kutoka nchini Cameroon Francis Ngannou amechapwa na Anthony Joshua kwa kumpiga Knock Out (K.O) katika pambano la uzito wa juu lililofanyika Riyadh, Saudi Arabia...
08
Mfahamu mwanaume aliyepandikizwa mikono
Mwanaume mmoja kutoka nchini India aitwaye Raj Kumar (45) amezua gumzo mitandaoni baada ya madaktari 11 kutoka hospitali ya Sir Ganga Ram kufanikiwa kumpandikiza mikono.Raj Ku...
08
Kizz Daniel athibitisha kuwa ameoa
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Kizz Daniel ameweka wazi kuwa yupo kwenye ndoa kwa miaka minne sasa.Kupitia ukurasa wake wa X (zamani twitter) alithibitisha hilo baada ya sh...
08
Mwezi wa pili waweka rekodi kuwa na joto zaidi
Mwezi Februari 2024 wadaiwa kuweka rekodi mpya ya kuwa mwezi wenye joto zaidi duniani.Hata hivyo takwimu za hivi majuzi zilizotolewa na Copernicus, shirika la Umoja wa Ulaya a...
08
Abigail: nilienda tanga kujifunza kusonga ugali
Baada ya mwanamuziki wa #bongofleva nchini Abigail Chams ku-share video akiwa anasonga ugali, ameweka wazi kuwa alienda mkoani Tanga kwa ajili ya kujifunza kupika chakula hich...
08
Tajiri Murdoch kuoa tena kwa mara ya tano
Mwanzilishi wa vyombo vya habari na tajiri maarufu kutoka nchini Marekani Rupert Murdoch (92) anatarajia kufunga ndoa yake ya tano na mpenzi wake Elena Zhukova (67).Kwa mujibu...
08
Pochi nyepesi zaidi duniani yazinduliwa
Chapa maarufu kutoka Paris ‘Fashion house Coperni’ imeripotiwa kutengeneza pochi nyepesi zaidi duniani ambayo inauzito wa gramu 33, iliyooneshwa kwa mara ya kwanza...
08
Chanzo cha siku ya wanawake duniani
Kila ifikapo tarehe kama ya leo Machi 8, dunia inaadhimisha siku ya wanawake. Wapo baadhi ya watu ambao huitumia siku hii kuwapa zawadi ndugu zao wa kike, wapo wanaoituma kwa ...
08
Tyla asitisha ziara yake
Mwanamuziki kutoka nchini Africa Kusini Tyla ambaye alijulikana zaidi kupitia wimbo wake wa ‘Water’ ameripotiwa kughairisha ziara yake ya kwanza ulimwenguni kutoka...
08
Mike Tyson kurudi tena ulingoni
Bondia wa ngumi za kulipwa kutoka nchini Marekani Mike Tyson (58) atarajia kurudi tena ulingoni Julai 20 mwaka huu akizichapa na Jake Paul (27), pambano ambalo litafanyika kat...

Latest Post