05
Song aonesha jezi alizopewa
Nyota wa zamani wa Arsenal, Barcelona, West Ham United na Cameroon, Alexandre Song ame-share video kwenye ukurasa wake wa Instagram akionesha ‘jezi’ alizobadilisha...
05
Awapa mapacha wake majina wa wachezaji wa Arsenal
Mwanamke mmoja kutoka nchini Kenya aitwaye Epakan Ekaale, amewapa watoto wake mapacha watatu majina ya nyota watatu wa mpira wa miguu wanaokipiga Ligi kuu England katika &lsqu...
05
Meek Mill ataka uraia Ghana
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, Meek Mill ameweka wazi kuutaka Urai wa Ghana baada ya kuchoshwa na unyanyasaji wa watu weusi nchini Marekani.Mill ameyasema hayo kupitia uk...
05
Ifahamu kazi ngumu zaidi Ufaransa
Ulimwenguni zipo kazi mbalimbalia ambazo watu huzifanya bila kujali ugumu wake, kikubwa mkono uende kinywani. Ni ngumi kuelewa raha na karaha ya kazi fulani kama hauifanyi wew...
05
Zuchu afungiwa kufanya shughuli za sanaa Zanzibar
Baraza la Sanaa, Sensa, Filamu na Utamaduni la Zanzibar, limemfungia msaanii wa kizazi kipya Zuhura Othman Masoud maarufu Zuchu kuendesha shughuli zote za sanaa visiwani Zanzi...
05
Mkopo wamtokea puani Chris Brown
Baada ya kukopa mkopo kwa ajili ya kununulia migahawa miwili ya Popeyes Chicken na kushindwa kulipa deni, sasa mwanamuziki Chris Brown ametakiwa kulipa deni hilo na mahakama j...
04
Mastaa na kundi la ndoa zisizodumu
Ndoa, ni muungano ulioidhinishwa kisheria na kijamii, kwa kawaida kati ya mwanamume na mwanamke hukubaliana kwa pamoja kuingia katika hatua hiyo pindi wamalizapo kujuana kwa k...
04
Jinsi ya kutengeneza sabuni za maji
Ni matumaini yangu mko pouwa kabisa, leo kwenye biashara nimekuja na wazo konki ambalo halitakufanya ulale njaa, kutokana na watu kila siku kutumia sabuni katika matuminzi yao...
04
Fanya haya kuvutia wateja kwenye biashara yako
Wajasiliamali oyee! Leo niko na ka-vibe fulani hivii ka kuwapa mada ambazo zitakufanya upate maokoto kwa wepesi kwako wewe mfanyabiashara mwenzangu, unataka kujua unapataje ma...
04
Mastaa wa bongo waige mahusiano ya Navykenzo
Kumekuwa na wimbi kubwa la wasanii wa Bongo kutokuwa na mahusiano ya kudumu hii imekuwa ikiwaogopesha, watu wengine kuingia kwenye mahusiano na wasanii au watu maarufu kwa kuo...
04
Rangi za kucha zinavyoleta muonekano wa kipekee
Karibu tena katika ulimwengu wa fashion ili kufahamu yanayohusu urembo na mitindo mbalimbali ya kisasa.Leo tutazungumzia upakaji wa rangi kwenye kucha ulivyokuwa kwa kiasi kik...
04
Pekosi habari ya mjini kwa sasa
Pelagia Daniel Pekosi ni aina ya suruali yenye muonekano unaoshika mwili kuanzia usawa wa kiuno hadi kwenye magoti wa juu lakini upande wa miguuni huachia kwa upana tofauti na...
04
Acha aibu, hizi ndizo fursa za kujikwamua kimaisha
Kama inavyofahamika kuwa suala la ajira, limekuwa janga la Taifa, asilimia kubwa ya wahitimu wamekuwa wakilia nalo. Waswahili wanasema uoga wako ndiyo umasikini wako, na hili ...
04
Wanafunzi wajiandae na maisha halisi baada ya kutoka vyuoni
Na Michael OneshaAloooh! niaje niaje, wanafunzi wenzangu, ni ndugu yenu tena nimerudi na kitu new, kama tunavyojua wiki hizi ni wiki ambayo wapo baadhi ya wanafunzi wamemaliza...

Latest Post