01
Baba mzazi wa AKA afunguka
Baada ya washukiwa wa mauaji ya mwanamuziki kutoka Afrika Kusini, AKA kukamatwa na kufikishwa katika Mahakamani ya Hakimu Mkazi jiji Durban siku ya jana Februari 29, baba mzaz...
29
Zamu ya Burna Boy kupewa heshima Marekani
Mji wa Boston, Massachusetts nchini Marekani umetangaza Machi 2, kuwa ni siku ya Mkali wa Afrobeat kutoka nchini Nigeria Burna Boy, itayoitwa ‘Burnaboy Day’ kama h...
29
Nicki Minaj hakamatiki kwenye mtandao wa spotify
Mwanadada Onika Tanya Maraj, maarufu Nicki Minaj amekuwa rapa wa kwanza wa kike kufikisha streams bilioni moja kwenye mtandao wa Spotify.Minaj ambaye ni mzaliwa wa nchi ya Tri...
29
Pogba afungiwa miaka minne
Kiungo wa Juventus, Paul Pogba amefungiwa miaka minne kujihusisha na soka baada ya kukutwa na hatia ya kutumia dawa za kuongeza nguvu.Pogba ambaye amewahi kuwa mchezaji ghali ...
29
Kesi mauaji ya AKA yaanza kusikilizwa
Ikiwa imepita siku moja tangu jeshi la polisi nchini Afrika Kusini kutangaza mbele ya waandishi wa habari kuwa limewakamata watu sita wanaotuhumiwa kwa mauaji ya rapa, Kiernan...
29
Cr7 afungiwa mechi moja
Mchezaji wa ‘timu’ ya Taifa ya Ureno na ‘klabu’ ya #AlNassr kutoka Saudi Arabia, Cristiano Ronaldo amefungiwa ‘mechi’ moja ikiwa kama adhab...
29
Fireboy dml aukosoa muziki wa Afrobeat
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Fireboy DML, ameukosa muziki wa #Afrobeat kwa kudai kuwa muziki huo hauna mtiririko mzuri wa uandishi baada yake unabebwa na ‘vaibu&rsq...
29
Mjengo wa Travis Scott upo hatarini
Mjengo wa kifahari wa ‘rapa’ kutoka nchini Marekani Travis Scott ulioko Brentwood jijini Los Angeles upo hatarini kuanguka, kutokana na ufa mkubwa ulioonekana kwen...
29
Mwanamieleka Virgil afariki dunia
Mwanamieleka kutoka nchini Marekani, Michael Jones ‘Virgil’ afariki dunia akiwa na umri wa miaka 61 baada ya kusumbuliwa kwa ugonjwa wa saratani ya utumbo kwa muda...
29
Kanye ataka watu wamuite Ye
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani Kanye West, inaonekana amechoshwa na watu kutumia jina lake la zamani la Kanye na badala yake kuwataka watumie jina jipya la kisheria...
28
Ifahamu Hotel hatari zaidi duniani
Tunajua umeshazoea kutembelea katika hotel zenye vivutio mbalimbali vya aina yake lakini sijui kama unafahamu kuhusiana na hotel hatari zaidi duniani ambayo ipo katikati ya ba...
28
Apple yasitisha utengenezaji wa gari ya umeme
Kampuni ya Apple imeripotiwa kusitisha utengenezaji wa gari la umeme lililokuwa likitengenezwa kwa zaidi ya miaka kumi iliyopita.Apple ilitoa taarifa hiyo siku ya jana Jumanne...
28
PC yenye kioo kinachoangaza nyuma
Kampuni inayojihusisha na utengenezaji wa vifaa vya umeme kutoka nchini China 'Lenovo' kupitia kongamano lake la hivi karibuni imezindua kompyuta (PC) aina ya ‘Transpare...
28
Sita wadakwa kifo cha AKA
Baada ya uchunguzi kufanyika kwa takribani mwaka kufuatiwa na kifo cha ‘rapa’ AKA hatimaye polisi nchini Africa Kusini imetoa taarifa ya kuwakamata watu sita ambao...

Latest Post