25
Mastaa wa Nigeria waikalisha Man United
‘Klabu’ ya #ManchesterUnited wamepokea kichapo cha mabao 2-1 na ‘klabu’ ya #Fulham siku ya jana kwenye muendelezo wa Ligi Kuu England.Inaelezwa kuwa ma...
25
Chelsea, Liverpool kuwania milion I 322
'Timu' ya #Chelsea na #Liverpool zitakutana leo kwenye fainali ya kombe la Carabao ambapo bingwa wa mchezo huo ataondoka na pauni 100’000 sawa na tsh 322 milioni kama za...
24
Mabosi yanga waweka mkwanja Belouizdad apasuke
Matajiri wa Yanga jana usiku walikutana na wachezaji kuwapa ahadi nzito ya fedha isiyopungua Sh500 milioni kwa ushindi, lakini kabla ya hapo kambini kwa wachezaji kumekuwa na ...
24
Mume wa Zari afungasha virago, arudi Uganda
Aliyekuwa mume wa mfanyabiashara Zari Hassan, Shakibi Lutaaya anadaiwa kufungasha virago vyake na kurudi nchini Uganda.Hii inakuja baada ya kusambaa kwa stori kupitia mitandao...
24
Harmonize kusaini wasanii wawili mwaka huu
Mwanamuziki na mmiliki wa ‘lebo’ ya #Kondegang, Harmonize ameahidi ku-saini wasanii wawili mwaka huu katika ‘lebo’ yake hiyo.  Harmonize kupitia u...
24
Hotel yenye gharama, kulala usiku mmoja ni zaidi ya 744 milioni
Kama tunavyojua wapo baadhi ya watu pesa kwao sio kitu, sasa tumeamua kuwasogezea sehemu ambayo wataenda kuenjoy maisha, ambapo ni katika hoteli yenye gharama zaidi duniani il...
24
Mwanamke wa kwanza kuolewa na AI
Mwanamke mmoja kutoka Uholanzi aitwaye Alicia Framis anampanga wa kufunga ndoa na roboti ‘Hologramu ya AI,’ aitwaye AILex ili kuona utofauti kati ya mahusiano ya A...
24
Utafiti: Zabibu zinasaidia kupunguza magonjwa ya moyo
Utafiti uliofanywa na ‘The Journals of Gerontology’ wanasayansi wanaojihusisha na masuala ya uzee, unapendekeza kula matunda aina ya Zabibu mara kwa mara kwa ajili...
24
Ujerumani yahalalisha uvutaji wa bangi
Siku ya jana, Ijumaa Februari 23, Bunge la Ujerumani liliidhinisha sheria ya kuhalalisha uvutaji wa bangi, ambapo imeruhusu kumiliki kilo 25 katika maeneo ya Umma na kilo 50 n...
24
Wimbo wa Estelle, Kanye wakimbiza Spotify
Wimbo wa mwanamuziki kutoka nchini Uingereza, Estelle Fanta aliomshirikisha Kanye West wa ‘American Boy’ umefanikiwa kufikisha Streams zaidi ya milioni 700 katika ...
23
Zuchu: Mimi na Diamond siyo wapenzi tena
Mwanamuziki wa Bongofleva nchini Zuchu ameweka wazi kuwa yeye na mpenzi wake ambaye pia ni Bosi wake Diamond kuwa hawapo kwenye mahusiano.Zuchu kupitia ukurasa wake wa Instagr...
23
Esma: Hii ndio ndoa yangu ya mwisho
Baada ya kufunga ndoa usiku wa kuamkia leo na mpenzi wake Jembe One, mfanyabiashara na dada wa mwanamuziki Diamond, Esma Platnumz ameeleza kuwa ndoa hiyo ndio itakuwa ndoa yak...
23
Chriss Brown awajia juu wanaomsema vibaya
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Chris Brown amewajia juu baadhi ya watu ambao wamekuwa wakimkosoa na kumshushia heshima yake katika jamii. Suala hilo linakuja baada ya msan...
23
Bess ashinda tuzo ya kocha bora 2024
‘Kocha’ mwenye umri mdogo zaidi wa mchezo wa kikapu aitwaye Christopher Bess (6) ameshida Tuzo ya ‘Kocha’ bora mwaka 2024, baada ya ‘timu’ ...

Latest Post