18
Sababu za kutokwa machozi wakati wa kukata kitunguu
Kuna kitendawili kisemacho nampiga mwanangu nalia mwenyewe, jibu lake kitungu, kitendawili hiki kimetokana na tabia ya tunda hilo ambalo wakati wa kulikata hupelekea mkataji k...
18
Tatizo la msongo wa mawazo kwa wanachuo
Na Michael OneshaMsongo wa mawazo ni hali ya shinikizo la kiakili au kihisia linalotokana na mahitaji yanayofikiriwa. Kila siku tunakabiliwa na hali nyingi ngumu ambazo viumbe...
18
Umuhimu wa mkataba kazini
Niaje niaje wanangu sana, I hope mko guudi kabisa, leo sitowachukulia muda wenu kwa sababu najua wengi wenu mtakuwa mmefunga so manahitaji kupewa vitu laini laini, Leo kwenye ...
18
Sina mpango wa kufungua kanisa, biashara ya muziki wa injili imekua
Sanaa hubeba, uhalisia wa mambo ambayo yanaizunguka jamii, haijalishi ni sanaa ya aina gani, inaweza kuwa uchoraji, uchongaji, uig...
18
Vyakula unavyotakiwa kula wakati wa kufuturu
Mambo vipi watu wangu wa nguvu mwezi Machi umekuwa wa kipekee, swaumu zimetaradadi kila kona, bila kuwachosha mwezi huu mzima nitakusogezea tips mbalimbali za chakula, ambazo ...
18
Drake aendelea alipoishia
Imekuwa desturi kwa mwanamuziki kutoka Canada, Drake kutoa maokoto kwa mashabiki wake kama zawadi, sasa amemzawadia shabiki yake ambaye ni mjamzito dola 25,000 sawa na tsh 63....
18
Jiongeze: Jentlomani wako hivi…
Kama hujaalikwa kwenye ishu, usiende mwanangu. ‘Samtaimzi’ hata ukialikwa usiende pia. Unaweza kualikwa na mtu ili useme hapana, kwa ushahidi tu.Halafu tumechoka w...
18
Jiongeze: Kidume ishi namna hii….
Usiishi kikondoo bro. Jiunge walau na mtandao mmoja wa kijamii. ‘Kipu in tachi’ na washikaji. Kuna wana toka praymari hamjaonana, utawakuta mitandaoni.Unaweza kupa...
17
Mwanaume aliyefuga nywele miaka mitatu, amtengenezee wigi mpenzi wake
Katika hali ya upendo usiyo wa kawaida mwanaume anayefahamika kwa jina la Cody Ennis, alifuga nywele zake kwa muda wa miaka mitatu...
17
Muonekano wa Jackie Chan , wagusa hisia za mashabiki
Picha za mwigizaji Jackie Chan zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii, zimezua gumzo baada ya nyota huyo kuonekana akiwa ameota mvi kichwani na kwenye ndevu.Picha hizo alizop...
17
The Batman part II, kuachiwa mwaka 2026
Warner Bros ambayo ni studio ya filamu na burudani nchini Kimarekani imetoa ratiba mpya ya kuachiwa kwa filamu ya The Batman Part II.Ratiba hiyo inaeleza kuwa filamu hiyo inat...
16
Mjengo wa mwigizaji Cara wateketea kwa moto
Jumba la kifahari la mwanamitindo na mwigizaji kutoka nchini Marekani Cara Delevingne (31) lateketea kwa moto usiku wa kuamkia leo, huku watu wawili wakijeruhiwa akiwemo askal...
16
India yazundua roboti wa kwanza mwalimu
Kampuni ya Makerlabs Edutech imezindua roboti wa kwanza mwalimu aitwaye Iris ambaye atafundisha katika shule ya Kerala, pamoja na Shule ya Sekondari ya Juu ya KTCT, Thiruvanat...
16
Nguo za Yeezy gap zadaiwa kuibiwa
‘Timu’ ya wafanyakazi katika kampuni ya mwanamuziki Kanye West, Ye’s imeripoti kuwa zaidi ya nguo zenye thamani ya dola 1 milioni zimeibiwa kwenye ghala la n...

Latest Post