25
Sukari ya Zuchu yaweka rekodi Afrika Mashariki
Mwanamuziki Zuhura Othman (Zuchu) ameandika rekodi ya kuwa msanii wa kwanza Tanzania na Afrika Mashariki kuwa na video moja iliyofikisha idadi ya watazamaji milioni 100 katika...
23
Wafanyakazi wasio na makazi waruhusiwa kulala kwenye magari
Jiji la Arizona, lililopo US state, limeidhinisha mpango ambao utawaruhusu wafanyikazi wasio na makazi kulala kwenye maegesho ya magari kutokana na kupanda kwa bei za kupangis...
23
Zuchu ajifunze kwa Yemi Alade
Na Peter AkaroTangu mwaka 2022 nyimbo zote za Zuchu zinazotoka ni kete muhimu katika mapambano yake ya kuepuka mtego uliomnasa staa wa Nigeria, Yemi Alade kwenye muziki kwa mi...
22
Dk Richard aeleza uchunguzi wa maiti ya Mohbad
Ikiwa imepita miezi sita sasa tangu mwili wa marehemu mwanamuziki wa Nigeria, Mohbad kufukuliwa, sasa imeripotiwa kuwa matokeo ya uchunguzi wa maiti hiyo yatakuwa tayari wiki ...
22
Mama mzazi wa MJ apata urithi wake
Baada ya mama mzazi wa marehemu mfalme wa Pop Michael Jackson, Katherine Jackson (93) kukata rufaa dhidi ya wasimamizi wa mali za MJ, hatimaye wasimamizi wa mali hizo wamemkab...
22
Hii ndiyo maana ya kula kwa jasho
‘Rapa’ kutoka Canada, Drake ameonesha ni kwa kiasi gani anatokwa na jasho baada ya kumaliza kufanya show.Kupitia video inayosamba mitandaoni inamuonesha Drake akiv...
22
Murphy kuonekana kwenye Peaky Blinders
Baada ya kuondoka na tuzo ya Oscar 2024, kama Mwigizaji Bora wa Kiume, Cilian Murphy ameripotiwa kuonekana katika muendelezo wa filamu ya ‘Peaky Blinders’.Taarifa ...
21
Mali za MJ zasababisha mgogoro kwa familia
Familia ya marehemu mfalme wa Pop kutoka nchini Marekani Michael Jackson (MJ) imeripotiwa kuwa na mgogoro wa mali baada ya mtoto wa mwisho wa MJ, Bigi Jackson maarufu kama MJ ...
21
Yao Kouassi hatihati kuikosa Mamelodi
Afisa Habari na Mawasiliano #Yanga, #AllyKamwe amezungumzia hali ya majeruhi waliopo katika ‘klabu’ hiyo kuelekea mchezo wa robo fainali ‘Ligi’ ya Mabi...
21
Polisi China kushughulika na wanaopaki magari vibaya
Polisi nchini #China wamezindua kifaa aina ya roboti ambacho kinauwezo wa kuhamisha magari yaliyoegeshwa vibaya.Kifaa hicho ambacho kilipewa jina la ‘#Valet’ kinau...
21
Kesi ya Yak Gotti na uwezekano wa kusikilizwa hadi 2027
Wakati kesi ya ‘rapa’ Deamonte Kendrick, maarufu kama Yak Gotti, ikiendelea kurindima mahakamani, Mawakili wake E. Jay Abt, Douglas Weinstein, pamoja na Katie A. H...
21
Dr Dre kwenye album ya pamoja na Snoop Doggy
Baada ya mwanamuziki na producer kutoka nchini Marekani Dr Dre kutunukiwa nyota ya heshima ya ‘Hollywood Walk of Fame’, ametangaza ujio wa album ya pamoja na &lsqu...
20
Cardi B ataja sababu ya kuwa kimya
‘Rapa’ Cardi B ameweka wazi kuwa kwa zaidi ya mwaka mmoja amekuwa akiogopa kuishi maisha yake halisi aliyoyazoea kutokana na kukosolewa na mashabiki. Akiwa katika ...
20
Dani Alves kuachiwa kwa dhamana
Baada ya kutupwa jela miaka minne na nusu kwa makosa ya ubakaji, hatimaye Mahakama jijini Barcelona imesema itamwachia nyota wa ‘soka’ wa zamani wa Brazil, Dani Al...

Latest Post