20
Tiwa adai kuwa amekula chakula chenye sumu
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Tiwa Savage amedai kuwa amekula chakula chenye sumu.Tiwa kupitia Instastory ame-share picha za dawa ambazo anatumia kwa ajili ya kupambana na...
20
Ice Spice akataa kufanya kolabo na Kanye
Baada ya mwanamuziki Nicki Minaji kukataa kuingiza verse kwenye ngoma ya Kanye West iitwayo ‘New Body’, na sasa ni zamu ya ‘rapa’ Ice Spice naye amerip...
20
Kesi ya Marioo yasogezwa mbele
Kesi inayomkabili mwanamuziki wa bongo fleva Marioo na Meneja wake Sweetbert Mwinula iliyotakiwa kusikilizwa Machi 18 na 19, ya madai ya Sh550 milion imepigwa kalenda katika M...
20
Utafiti: Wanaolalia tumbo hatarini kukosa pumzi
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Dk Tony Nalda, kutoka katika kituo cha Scoliosis unaeleza kuwa wanaolalia tumbo hatarini kuathiri upumuaji kutokana na kukandamiza Diaphrag...
20
Ariana Grande na Gomez wamalizana
Baada ya kutengana mwaka mmoja uliopita huku kesi yao ikirindima miezi sita mahakamani, hatimaye mwanamuziki Ariana Grande na aliyekuwa mumewe Daliton Gomez wamepeana talaka r...
20
Dr Dre atunukiwa nyota ya heshima
Baada ya kutangazwa na watoaji wa nyota za heshima ya ‘Hollywood Walk of Fame’siku chache zilizopita, hatimaye ‘rapa’ na producer Dr Dre tayari ametunu...
19
Kizz Daniel awatolea uvivu wanaomsema mkewe
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Kizz Daniel ameamua kuwatolea uvivu wanaosema mkewe mbaya.Kupitia ukurasa wake wa Instagram upande wa ‘komenti’ Kizz amekuwa akiw...
19
Ifahamu wine iliyotengenezwa kwa kutumia nyoka
Ukistaajabu ya Mussa, utayaona ya Firauni, wakati baadhi ya watu wakitumia mvinyo uliotengenezwa na zabibu kwa ajili ya kujiburudisha, fahamu kuwa wapo wanaotumi mvinyo uliote...
19
Kanye west kutua tena Africa
Mwanamuziki Kanye West ambaye kwa sasa anatamba na albumu ya ‘Vultures’ amepanga kuja Africa kwa ajili ya usikilizaji wa albumu yake kwenye Piramid za Saqqara nchi...
19
Udanganyifu wamuweka matatani Wayne na Post Malone
Post ‘Rapa’ kutoka Marekani Lil Wayne na Post Malone wanatuhumiwa kuidanganya Serikali nchini humo kupitia mradi wao wa kufundisha vijana kuacha kutumia madawa ya ...
19
Show ya Nicki Minaj yapigwa kalenda
Show ya ‘rapa’ Nicki Minaj iliyotakiwa kufanyika jana Machi 18, New Orleans, Marekani ambayo ni muendelezo wa ziara yake imeghairishwa kutokana na mwanamuziki huyo...
19
Usaliti haukuvunja penzi la Shakira na Pique
Mwanamuziki kutoka nchini Colombia Shakira amekanusha uvumi unaodai kuwa aliachana na aliyekuwa mpenzi wake, mwanasoka Pique kwa sababu ya usaliti.Kupitia mahojiano yake na #T...
18
Tems, Travis kwenye album ya Tyla
Mwanamuziki kutoka South Africa, Tyla tayari ameachia listi ya nyimbo ambazo zipo kwenye albumu yake ambapo mwanamuziki Tems pamoja na Travis Scott wakiwa ni miongoni mwa wasa...
18
Ni sawa matamasha ya muziki za injili kuwa na kiingilio
Kumekuwa na baadhi ya mijadala kwenye mitandao ya kijamii ikionesha baadhi ya watu kutofurahia malipo ya kiingilio yanayotolewa kwenye matamasha ya muziki wa injili. Kutokana ...

Latest Post