10
Avunja rekodi kwa kuwa na pembe nyingi kichwani
Mwanaume mmoja kutoka pwani ya Praia Grande karibu na São Paulo nchini #Brazili, Michel 'Diabao' Praddo (47) maarufu kama ‘Shetani wa Kibinadamu’ amevu...
10
Lava Lava atoa shukrani kwa wasanii nje ya wasafi
Mwanamuziki wa bongo fleva nchini Lava Lava ametoa shukrani kwa baadhi ya wasanii ambao wamemtafuta na kumpongeza baada ya kuachia ngoma zake mbili.Lava Lava kupitia ukurasa w...
10
Apple yafikisha bidhaa 2.2 bilioni zinavyotumika duniani
Katika taarifa yake na vyombo vya habari Mkurugenzi Mtendani kampuni ya Apple, Tim Cook ameeleza kuwa mpaka kufikia Januari walipozingua ‘Vision Pro’ kampuni hiyo ...
10
Ajaribu kuweka rekodi ya kutafuna kwa muda mrefu
Mwanamke mmoja kutoka nchini Ghana aliyefahamika kwa jina la Artise Maame anajaribu kuweka rekodi ya dunia ya Guinness kwa kutafuna Bablishi (Big G) kwa muda mrefu.Imeripotiwa...
10
Sony music wanunua nusu ya kazi za MJ
Kampuni ya muziki kutoka nchini Marekani ‘Sony Music’ imeripotiwa kununua asilimia 50 ya nyimbo za marehemu Mfalme wa Pop Michael Jackson.Dili hilo limekamilika kw...
10
Ifahamu barakoa ya kidijitali, inauzwa dola 600
Kampuni ya Skyted imezindua barakoa ya kidijitali ambayo inaweza kumruhusu mtumiaji kufanya mazungumzo ya siri hadharani bila ya watu wengine kusikia.Barakoa hiyo iliyopewa ji...
10
Januari 2024 yavunja rekodi kuwa na joto kali
Kwa mujibu wa ‘Huduma ya Umoja wa Ulaya ya Kubadilisha Tabianchi ya Copernicus’ kufuatiwa na ripoti yake iliyotolewa hivi karibuni imeeleza kuwa Januari 2024 ndiyo...
10
Man United mbioni kufunga kamera kwenye jezi za wachezaji
‘Klabu’ ya Manchester United imepanga kuwawekea wachezaji wao ‘kamera’ katika ‘jezi’ wakati wa ‘mechi’ kwa lengo la kuruhusu ma...
09
Ice cream inayouzwa tsh 16 milioni
Kampuni inayohusika na utengenezaji wa Ice Cream kutoka nchini Japan ya Cellato imetengeneza ice cream ya bei kubwa zaidi duniani iitwayo ‘Byakuya’, inayogharimu d...
09
Shabiki apata maokoto kutoka kwa Drake
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani #Drake ameendelea kuonesha uugwana kwa mashabiki zake na sasa amemkabidhi shabiki aliyekuwa akisumbuliwa na maradhi ya saratani dola ...
09
Luisa atimiza ndoto ya kutembea nchi zote duniani
Bibi wa miaka 79 anayefahamika kwa jina la Luisa Yu mzaliwa wa Ufilipino,ametimiza ndoto yake ya kutembelea nchi zote duniani kama alivyokuwa akitamani.Bibi huyo amekuwa na ta...
09
Stoute: Gomez alimtumia Rema, kurudisha umaarufu wake
Mfanyabiashara na CEO wa ‘UnitedMasters’ Steve Stoute kutoka nchini Marekani amedai kuwa mwanamuziki Selena Gomez alimtumia mkali wa Afrobeat Rema kurudisha umaaru...
09
Zamaradi: kushindwa kwa wasanii wetu ni furaha
Kutokana na baadhi ya mashabiki kutoka nchini #Nigeria kuumizwa na kitendo cha mastaa wao kutopokea tuzo yoyote ya #Grammy, mtangazaji Zamaradi Mketema ameyatoa ya moyoni huku...
09
Mayweather aonesha jeuri ya pesa
Bondia wa zamani wa ngumi za kulipwa na ‘promota’ kutoka nchini Marekani Floyd Mayweather ameendelea kuonesha jeuri ya pesa, ambapo ameripotiwa kutumia dola 1.13 a...

Latest Post