07
Msichana anayechora kwa kutumia miguu na mikono
Tumezoea kuona wachoraji wakitumia mkono wa kulia ama kushoto kuchora picha lakini kwa mrembo #Rajacenna van Dam, maarufu kama Rajacenna ameendelea kuwavutia wengi kupitia mit...
07
Kago awachimba biti wanaotumia msemo wake, Afunguka bifu lake na mavokali
Naam, tumekutana tena katika jarida letu pendwa la Mwananchi Scoop kwenye segment ya Burudani. Miaka ya hivi karibuni imekuwa kawa...
07
King Majuto alikuwa sanaa kamili
Furaha ndiyo kila kitu kwa maisha ya mwanadamu. Tunatafuta pesa ili kujenga furaha. Tunataka uongozi bora ili tuwe na furaha. Tunaoa, kuolewa na watu sahihi ili tuishi kwa fur...
07
Fanya hivi kupata simu yako iliyopotea
Imekuwa kawaida baadhi ya watu, kusahau sehemu ambayo wameacha simu zao. Jambo hili huumiza kichwa zaidi ikiwa simu imewekwa ‘silent’,  kwani hata mmiliki aki...
07
Kampuni ya BYD na gari inayeweza kutembea chini ya maji
Wakati mvua zikinyesha Bongo baadhi ya wamiliki wa magari huacha majumbani kwao na kutumia usafiri wa umma kutokana na kuhofia magari yao kuharibika kufuatiwa na maji kujaa ba...
07
Pyramids yambwaga Pachecco
Aliyekuwa ‘kocha’ mkuu wa ‘klabu’ ya #PyramidsFC kutoka nchini #Misri, #JaimePachecco amefukuzwa kazi kama ‘kocha’ mkuu klabuni hapo kutoka...
06
Rayvanny ndani ya studio ya MJ
Baada ya kuhudhuria na kushuhudia ugawajwi wa Tuzo za Grammy 66, zilizofanyika nchini Marekani siku ya Jumapili, mwanamuziki Rayvanny ameendeleza ziara yake nchini humo na sas...
06
Miss Japan arudisha taji baada kugundulika ana uhusiano na mume wa mtu
Mwanamitindo maarufu kutoka nchini Japani, Karolina Shiino, mzaliwa wa Ukraine ambaye alishinda taji la Miss Japan mwezi uliopita,...
06
Utafiti: Kufunga kunafanya watu wawe na afya njema
Utafiti uliofanywa na Chuo cha Cambridge umeeleza kuwa kufunga mara kwa mara kunawaongezea binadamu uzalishaji wa mafuta muhimu na kusababisha kuwa na afya njema na kupunguza ...
06
Nissan yatengeneza kiti kinachosogea kwa kupigiwa makofi
Kampuni ya Nissan imetengeneza viti maalum vya kutumika kwenye ofisi zao, ambavyo vinafanya kazi kwa uwezo wa teknolojia. Viti hivyo vinauwezo wa kijipanga na kujisogeza pembe...
06
Chino Kidd amvaa tena Marioo, Amtaja Baba Levo
Kutokana na mambo yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii yakimhusisha mwanamuziki na dansa Chino Kidd kuwa kwenye mgogoro na bosi wake wa zamani Marioo, mkali huyo amefunguk...
06
Kwenye GRACE ya Otile, yumo Rayvanny, Baraka, Eddie Kenzo
Mwanamuziki kutoka nchini Kenya, #OtileBrown, ametoa orodha ya nyimbo 11 zilizopo kwenye albamu yake mpya 'GRACE', inayotarajiwa kutoka Februari 23, 2024. Ndani ya albamu hiyo...
06
Mashabiki Nigeria wa-report akaunti ya Grammy
Baada ya ugawaji wa Tuzo kubwa za Grammy kuwatosa Ma-staa wa muziki kutoka nchini Nigeria, mashabiki kutoka nchini humo wamechukizwa na kitendo hicho na kuamua kui-report 'aka...
05
Shangwe la mashabiki baada ya Celine kupanda jukwaani
Baada ya dada wa mwanamuziki maarufu kutoka nchini Marekani Celine Dion, Claudette Dion kutoa taarifa mpya kuhusiana maendeleo ya mwanamuziki huyo Desemba mwaka jana, kwa kuwe...

Latest Post