24
Hit em up ya Tupac ndiyo wimbo bora wa hip-hop
Wimbo wa marehemu Tupac Shakur uitwao ‘Hit Em Up’ umetajwa na Billboard kuwa ndiyo wimbo bora wa muda wote huku ukishika nafasi ya kwanza katika tovuti hiyo.Kwa mu...
24
Motsepe: goli la Aziz Ki lilikuwa ni halali
Rais wa shirikisho la 'soka' Afrika (CAF), Patrice Motsepe amekiri kuwa goli la #Yanga lililokataliwa na mwamuzi katika mchezo wa robo fainali dhidi ya Mamelod Sundo...
24
Ruhusa kusafiri na mnyama wako kwenye ndege
Wakati asilimia kubwa ya mashirika ya usafiri wa angani yakipiga marufuku abiria kusafiri na wanyama, shirika la ndege la Marekani BARK Air, limeleta mapinduzi na sasa linamru...
24
Tyson Fury aliondoka na mkwanja wa maana pambano lake na Usyk
Ingawa bondia wa ngumi za kulipwa Tyson Fury kashindwa pambano lake na Oleksandr Usyk lakini ameripotiwa kuwa alikuwa mshindi kifedha baada ya kuondoka na dola milioni 100 iki...
24
Diddy aendelea kuelemewa na mizigo ya kesi
Baada ya mwanamuziki na dansa kutoka Marekani Cassie, kuweka wazi siku ya Jana Alhamis Mei 23, 2024 kuwa yupo tayari kuwashika mkono wanawake wote ambao wamefanyiwa ukatili, n...
23
Cassie avunja ukimya, awashukuru mashabiki
Baada ya kusambaa kwa video ya mwanamuziki na dansa Cassie akishambuliwa na aliyekuwa mpenzi wake Diddy, hatimaye Cassie amevunja ukimya na kutoa neno la shukrani kwa mashabik...
23
Frida aweka historia kwenye kongamano la kimataifa la vijana na hip-hop
Rapa na mtangazaji, Frida Amani ameweka historia ya kuwa msanii wa kwanza kushiriki katika mkutano maarufu wa kimataifa wa NEXT, u...
23
Serikali yaandaa mpango kabambe kwa wasanii
Serikali ipo mbioni kufanya mageuzi katika Sekta ya Utamaduni na Sanaa ili ijiendeshe kibiashara, izalishe ajira kwa wingi, iwe chanzo cha mapato ya fedha za kigeni pamoja na ...
23
Tyler Perry amuomba radhi William Ruto
Mwandishi na Mwigizaji kutoka Marekani Tyler Perry amuomba radhi Rais wa Kenya William Ruto baada ya Rais huyo kutembelea katika studio zake na kutoonana na mwigizaji huyo.Tyl...
23
Beyonce na Jay-Z washitakiwa
Kundi la zamani la New Orleans limewashitaki wanamuziki Beyonce, Jay-Z na Big Freedia kwa ukiukwaji wa hakimiliki kutoka katika wimbo wa Beyonce wa ‘Break My Soul’...
23
Aliyekuwa mkwe wa Bob Marley atunukiwa tuzo na Apple music
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani ambaye pia alikuwa mpenzi wa mtoto wa Bob Marley, Rohan Marley, Lauryn Hill ametunukiwa tuzo ya heshima na ‘Apple Music’ ...
23
Filamu ya George Floyd kutayarisha na mtoto wake
Mke na mtoto wa marehemu George Floyd wameripotiwa kutayarisha filamu iitwayo ‘Daddy changed the World’ ya maisha ya mwanaume huyo ambaye aliuwawa na polisi nchini...
22
Unyoya wa ndege wauzwa zaidi ya sh 73 milioni
Unyoya mmoja wa ndege aina ya Huia kutoka New Zealand umeripotiwa kuuzwa kwa dola 28,417 ikiwa ni zaidi ya Sh 73 milioni katika mnada wa Webb.Kwa mujibu wa tovuti ya #Cnn imee...
22
Binti wa Eminem afunga ndoa
Binti wa ‘rapa’ kutoka nchini Marekani Eminem, Hailie Jade Scott, ameripotiwa kufunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Evan McClintock ndoa hiyo iliyofungwa wikie...

Latest Post