30
Tiwa alipiga mswaki mara sita kabla ya kumbusu Andrew
Mwanamuziki nchini Nigeria Tiwa Savage ambaye kwa sasa ameifuata ndoto yake ya uigizaji ameweka wazi kuwa alipiga mswaki mara sita kabla ya kushuti kipande cha kukisi na mwigi...
30
Klabu ya Al Hilal yavunja rekodi
Klabu anayoichezea nyota wa Brazil Neymar ya Al Hilal kutoka Saudia imevunja rekodi ya dunia na kuingia katika kitabu cha ‘Guinness World Records’ baada ya kushind...
30
Aziz Ki humwambii kitu kuhusu mpira wa kikapu
Mchezaji wa ‘klabu’ ya Yanga Aziz Ki siku ya jana Mei 29, 2024 alitembelea klabu ya mpira wa kikapu ya Dar City Basketball na kufanya nao mazoezi huku akiweka wazi...
30
Mambo magumu kwa Diddy ashindwa kuhudhuria mahafali ya binti yake
Mkali wa Hip-hop kutoka Marekani Diddy ameripotiwa kuwa hatokuwepo kwenye mahafari ya binti yake itwaye Chance (17) huku wadau wakieleza kuwa hatohudhuria katika sherehe hiyo ...
30
Jessica hakujua Rick Ross atatumia sauti yake hadi leo
Mwanamitindo kutoka Marekani Jessica Gomez ambaye sauti yake ilisikika mwanzoni mwa wimbo wa ‘rapa’ Rick Ross aliomshirikisha Jay-Z uitwao ‘May Back Music&rs...
30
Will Smith akimbiza kwenye mauzo ya filamu
Mwigizaji kutoka #Marekani ,. Will Smith ameripotiwa kupata maokoto mengi katika mauzo ya filamu zake mbalimbali anazozitoa huku filamu ya ‘Bad Boys’ ikiongoza kwa...
30
Snoop Dogg awashukuru Lamar na Drake
Mwanamuziki na producer wa #Marekani Snoop Dogg amewashukuru wasanii wenzake Kendrick Lamar na Drake kwa kurudisha muziki kwenye mstari.Akiwa kwenye mahojiano yake na ‘E...
29
Tyson Fury na Usky kuzichapa tena
Bondia Tyson Fury na Oleksandr Usyk ambao walizichapa wiki chache zilizopita wanatarajia kupanda tena ulingoni Desema 21, 2024.Taarifa ya pambano hilo imethibitishwa leo Mei 2...
29
Eminem ana jambo lake ijumaa hii
Mwanamuziki kutoka Marekani Eminem ametangaza ujio wa wimbo wake mpya ambao utaachiwa siku ya Ijumaa Mei 31, 2024 alioupa jina la ‘Houdini’.Kupitia ukurasa wake wa...
29
Fei Toto ampongeza Aziz Ki
Kiungo wa Azam FC, Feisal Salum 'Fei Toto' amempongeza Stephane Aziz Ki kwa kuibuka mfungaji bora kwa kupachika mabao 21 huku akiweka wazi kuwa alistahili.Fei Toto ambaye amef...
29
Bilionea Larry atangaza kwenda kushuhudia mabaki ya Titanic
Licha ya watu watano kufariki na meli ya #OceanGate mwaka jana, bilionea kutoka jimbo la #Ohio nchini #Marekani Larry Connor ametangaza kuwa ana mpango wa kuanza safari ya kue...
29
Mtoto wa miaka 2 awashangaza majaji shindano la AGT
Tazama mtoto wa miaka 2 aitwaye #Devan akionesha ufundi wake kwenye somo la hisabati katika shindano ya kusaka vipaji la America's Got Talent linaloendelea nchini&nb...
29
Tyson afunguka maendeleo ya afya yake
Baada ya kutangaza kupata changamoto ya kiafya kwenye ndege, bondia wa uzani wa juu Mike Tyson, amewaondoa hofu mashabiki wake kwa kueleza kuwa kwa sasa yupo sawa asilimia 100...
29
Sokwe wa MJ sasa ana miaka 40
Sokwe maarufu wa marehemu mkali wa Pop Michael Jackson, aitwaye Bubbles ameripotiwa kufikisha miaka 40 ambapo kwasasa anatunzwa katika kituo cha kulea wanyama cha Apes Wauchul...

Latest Post