03
Akataa kupooza, akimbia kilometa 10
Baada ya kupooza na kuambiwa hatoweza kutembea tena na madaktari mwanaridha Tim Marovt, aliwashangaza wengi baada ya kurudi tena kukimbia kwenye marathoni kwa kilometa 10 huku...
03
Party iliyokuwa ikiwakutanisha ma-staa yahairishwa
Party iliyokuwa ikifanyika siku moja kabla ya Tuzo za #Grammy ambayo ilikuwa ikiongozwa na #Jay-Z na Roc Nation kwa lengo la kuwakutanisha ma-staa mbalimbali haitofanyika mwak...
03
Muonekano wa awali jukwaa la tuzo za Grammy
Tukiwa tunahesabu masaa kuelekea kushuhudia ugawaji wa Tuzo maarufu za Grammy 66, na huu ndio muonekano wa ukumbi itakapo fanyika shughuli hiyo.Tuzo hizo zinatarajiwa kutolewa...
03
Aweka rekodi ya kukaa kwenye barafu kwa saa 3
Mwanamke mmoja kutoka nchini Poland aitwaye Katarzyna Jakubowska (48) ameweka rekodi ya dunia ya ‘Guinness World Records’ kwa kukaa kwenye sanduku la barafu kwa mu...
03
Rick Ross atoa heshima kwa Rais Samia
Baada ya kudai kuwa anampango wa kufanya ‘kolabo’ na wasanii wa wakubwa Barani Africa ‘Rapa’ kutoka Marekani #RickRoss ameendelea kuonesha upendo wake ...
03
Shangwe la wafanyakazi kwa mteja wa kwanza wa vision pro
Baada ya kampuni ya #Apple kuzindua miwani ambayo unaweza kutumia kwa matumizi mbalimbali ikiwemo ‘Kompyuta’ kuangalia movie, kuingia katika mitandao ya kijamii na...
03
Mbwa alamba dili kampuni ya magari
Mbwa mmoja aliyetambulika kwa jina la #TucsonPrime, ambaye hakuwa na makazi maalumu amepata ‘dili’ la kuwa mfanyakazi katika kampuni ya kuuza magari ya #Hyundai il...
03
Muigizaji Carl afariki dunia akiwa usingizini
Muigizaji mkongwe kutoka nchini Marekani Carl Weathers amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 76.Taarifa ya kifo chake imetolewa na familia yake siku ya juzi Februari 1 wakiel...
02
Joeboy ajiunga na warner music
Baada ya kutemana na ‘lebo’ yake ya ‘emPawa’ mwanamuziki kutoka nchini Nigeria #Joeboy ameripotiwa kujiunga na ‘Warner Music’, akiungana na...
02
Rick Ross ataka kolabo na Diamond
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani #RickRoss ametangaza kufanya ‘kolabo’ na wasanii wakubwa Africa akiwemo Diamond, Yemi, Stonebwoy na wengineo.Kupitia Inst...
02
Wanaume walio single hawafurahii marafiki walio nao
Idadi kubwa ya wanaume walikuwa ‘single’ (waseja) nchini Marekani wanadaiwa kupitia kipindi kigumu cha 'kutokuwa na urafiki', ambapo takribani asilimia 20 ya wanau...
02
Afariki baada ya kula samaki mwenye sumu
Mwanamme mmoja kutoka nchini #Brazil, aliyefahamika kwa jina la Magno Sergio Gomes (46) ameripotiwa kufariki baada ya kula samaki mwenye sumu aina na ‘#pufferfish’...
02
Mashabiki wa Card B waivaa vita ya Megani, Nick Minaj
Baada ya mashabiki wa Nicki Minaj kutaja sehemu aliyozikwa mama mzazi wa ‘rapa’ Megan Thee Stallion, na kutishia kwenda kufukua kaburi hilo, na sasa mashabiki wa #...
02
Aomba talaka akidai mumewe mchafu
Mwanamke mmoja kutoka nchini #Uturuki aliyejitambulisha kwa jina la #AY ameripotiwa kuomba talaka akidai kuwa mumewe aitwaye #CY hakuwa msafi wa mwili.#AY alifikisha ombi la t...

Latest Post