22
Guardiola kocha bora wa mwaka 2023/24
Kocha wa ‘Klabu’ ya Manchester City, Pep Guardiola ametangazwa kuwa ‘kocha’ bora wa mwaka katika Ligi kuu ya Uingereza kwa mwaka 2023/2024.Guardiola am...
22
Burna Boy aangukia kwenye uigizaji
Mkali wa Afrobeat kutoka nchini Nigeria, Burna Boy ameripotiwa kuingia kwenye tasnia ya filamu kama mtayarishaji mkuu katika filamu iitwayo ‘3 Cold Dishes’.Kwa muj...
22
Filamu ya Diddy inayohusu kesi, kuoneshwa hivi karibuni
Filamu iliyoandaliwa na 50 Cent kuhusu madai ya unyanyasaji wa kingono yanayomkabili Diddy, iitwayo ‘Diddy Do It?’ inatarajiwa kuoneshwa katika mtandao wa Netflix ...
22
Diddy azidi kuyakanyaga, afunguliwa kesi nyingine
Mkali wa Hip-hop kutoka Marekani Diddy anakabiliwa na kesi nyingine ya unyanyasaji wa kingono ambayo imefunguliwa hivi karibuni na mwanamitindo wa zamani Crystal McKinney, tuk...
22
Tuzo za Grammy awamu ya 67 kutolewa Februari 2025
Waandaaji wa tuzo kubwa za muziki za Grammy wametangaza tarehe rasmi ya ugawaji wa tuzo hizo awamu ya 67 kwa mwaka 2025.Kupitia ukurasa wao wa Instagram wameorodhesha tarehe m...
21
Diamond na Rekodi mpya
Mwanamuziki wa Bongo Flava nchini, Diamond Platnumz, ameendelea kuonesha ukubwa wake baada ya kufikisha zaidi ya streams milioni 400 kwenye mtandao wa kuskiliza mziki wa &lsqu...
21
Basata yatolea tamko vita ya Barnaba, Marioo
Kutokana na mgogoro unaoendelea kwenye mtandao wa Instagram kati ya wanamuziki Elias Barnabas, ‘Barnaba’ na Omary Ally,‘Marioo’, kuhusu Tuzo za Muziki ...
21
Marioo na Paula wapata mtoto wa kike
Baada ya kuthibitisha kutarajia kupata mtoto, hatimaye mwanamuziki Marioo na mpenzi wake Paula Kajala wamepata mtoto wa kike waliyompa jina la Amarah.Kupitia ukurasa wa Instag...
21
Washukiwa wa mauaji ya AKA wanyimwa dhamana
Baada ya washukiwa watano kati ya saba wanaohusishwa kuhusika na kifo cha ‘rapa’ Kiernan Forbes maarufu AKA kuomba dhamana mwezi uliyopita, na sasa dhamana hiyo im...
21
Man United yaitajia Dortmund bei ya Sancho
‘Klabu’ ya Manchester United inataka walau asilimia 75 ya kiasi cha pesa ilicholipa kumnunua Jadon Sancho mwaka 2021 ikiwa ‘timu’ yoyote itataka kumsaj...
21
Diddy haruhusiwi kutaja jina la Cassie hadharani
PBaada ya mkali wa Hip-hop kutoka Marekani kuomba radhi hadharani kufuatia na video ikimuonesha akimshambulia aliyekuwa mpenzi wake Cassie huku mashabiki wakijadiri kuwa kwani...
21
Adele atamani kuwa na mtoto wa kike
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Adele ameweka wazi kuwa kwa sasa yupo tayari kuanzisha familia na mpenzi wake Rich Paul, na endapo atabahatika kupata mtoto basi anatamani a...
20
Mnaosoma meseji zetu kwenye daladala hamuoni aibu
Binadamu hawaishiwi vioja, starehe ni nyingi duniani lakini wapo ambao wamechagua kupiga chabo mambo yasiyowahusu.Achana na wale wa madirishani, au wazee wakuiga hadi jina kwe...
20
Banda afunguka kuachana na mdogo wa Kiba
Baada ya maswali mengi juu ya ndoa ya beki wa klabu ya Richards Bay inayoshiriki Ligi Kuu Afrika Kusini, Mtanzania Abdi Banda, mwenyewe kajitokeza na kufafanua ilivyokuwa.Staa...

Latest Post