20
Kisa Klopp, Guardiola atoa machozi
Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola jana alimwaga machozi baada ya kuulizwa swali kuhusu kuondoka kwa meneja wa Liverpool, Jurgen Klopp.Klopp jana aliiongoza Liverpool kwe...
20
Baada ya kipigo Cassie alienda mtoko na Diddy
Baada ya kusambaa kwa video zikimuonesha Diddy akimpiga aliyekuwa mpenzi wake Cassie, huku baadhi ya wadau mbalimbali wakimshamulia rapa hiyo na sasa imeripotiwa kuwa siku mbi...
20
Will Smith na Michael Jordan kuja na muendelezo wa i am legend 2
Mwigizaji kutoka Marekani Will Smith ameweka wazi kuwa yeye na mwigizaji mwenziye Michael B. Jordan wanampango wa kutoa muendelezo wa filamu ya ‘I Am Legend 2’.Smi...
20
Mauzo ya tiketi za pambano la Jake na Tyson ni kufuru
Imeripotiwa kuwa pambano la ndondi kati ya Jake Paul na Mike Tyson limefanya kufuru katika mauzo yake ya ‘tiketi’ baada ya kupata dola milioni 10 ikiwa ni zaidi ya...
20
Bongo Movie ilivyowapa kisogo mamisi
Tangu kuanzishwa kwa mashindano ya kusaka warembo,  Miss Tanzania mwaka 1967 tayari imepita miaka 57,  huku taji hilo likiwa limevaliwa na warembo 30 hadi kufikia mw...
20
Harmonize na rekodi zake mbili kubwa
Staa wa Bongofleva, Harmonize anaenda kuzindua albamu yake ya tano tangu ametoka kimuziki miaka tisa iliyopita, huku rekodi mbili kubwa zikiwa upande wake katika mradi huo ali...
20
Mwanamke na uongozi chuoni
Na Michael AndersonWanawake chuoni wanahitajika kuaminisha jamii ya kwamba kila mwanamke ana uwezo mkubwa ndani yake, kila mwanamke ana hatima kubwa inayomsubiri, kila mwanamk...
20
Changamoto zinazowakumba madereva wa maroli barabarani
Waswahili wanasema kazi ni kazi ilimradi mkono uende kinywani, lakini ndani ya kazi hizo ambazo watu wanazifanya yapo mengi wanayokumbana nayo yanayowafikirisha kiasi cha kuac...
20
Vaa pigo hizi zitakufanya utoke chicha
Baadhi ya wanawake na wanaume wengi wanapenda kupendeza, ndiyo sababu hujitahidi kufanya mambo mbalimbali ikiwemo kutunza ngozi zao, nywele na kuvaa mapambo na mavazi ya kuvut...
20
Dr. Almasi alivyoukataa uzee, ajifananisha na Diddy, Snoop Dogg
Kuzeeka ni mpango wa Mungu ila kuchoka ni kujitakia kauli hii ameitoa Mwigizaji Steven Charles Almasi maarufu kama Dr. Alsmasi baada kuzungumza na Mwananchi Scoop na kufunguka...
20
Faida, hasara za biashara ya nguo za mitumba
Nguo za mtumba ni nguo ambazo zimekuwa kizipendwa na kuvaliwa na watu wengi kutokana na utofauti wake, yaani ni nadra sana kukuta nguo hizo zilizofanana. Huku sababu nyingine ...
19
Picha ya kihistoria na somo muhimu sana
Picha hii ilipigwa katika fainali za Kombe la Dunia mwaka 1986. Pichani ni Maradona, Pele na Platini. Maradona alikuwa balozi wa mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya...
19
Tatu bora wanamichezo wanaolipwa zaidi duniani
Michezo inaonekana kuendelea kuwanufaisha watu waliojikita kwenye tasnia hiyo. Katika kulithibitisha hilo jarida la Forbes limetoa orodha ya wanamichezo wanaolipwa zaidi dunia...
19
Video za ukatili zafanya Lebron afute urafiki na Diddy
Mcheza mpira wa kikapu wa NBA Lebron James amefuta urafiki na Diddy kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram baada ya video za hizi karibuni kusambaa zikimuonyesha msanii huyo a...

Latest Post