28
Tiwa avutiwa na mavazi wa Ayra
Wakati mashabiki kutoka Nigeria wakimshambulia mwanamuziki Ayra Starr kuhusu mavazi yake yanayo onesha maungo ya mwili, kwa mwanadada Tiwa Savage imekuwa tofauti ambapo yeye a...
28
Doja Cat amtolea maneno machafu baba yake
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, Doja Cat ameripotiwa kumtolea maneno machafu baba yake mzazi hii ni baada ya kutokuwa na maelewano mazuri na mzee wake huyo.Kupitia ukurasa...
28
Majibu ya Shilole kuhusu kuvunjika kwa ndoa yake
Vipi, wameachana au ni kiki? maswali ni mengi kwa ndoa ya msanii na mfanyabiashara Zuwena Mohamed 'Shilole' na mumewe Rajabu Issa 'Rommy' kutokana na yanayoendelea mitandaoni....
28
Mbinu anayotumia Chris Brown kukumbuka mistari stejini
Mwanamuziki kutoka Marekani Chris Brown ameweka wazi kuwa anaposahau mistari ya nyimbo zake akiwa stejini huwa anawaachia mashabiki waimbe.Brown ameyasema hayo kwenye moja ya ...
28
Nyumba iliyoigiziwa filamu ya Home Alone yauzwa
Nyumba maarufu iliyopo katika kitongoji cha Winnetka, Illinois Chicago ambayo ilitumika kuigizia filamu ya ‘Home Alone’ ya mwaka 1990 inauzwa.Nyumba hiyo ambayo im...
28
CR7 aweka rekodi mpya ligi Saudia
Mchezaji wa ‘klabu’ ya Al-Nassr kutoka Saudi Arabia Cristiano Ronaldo ameendeleza ubabe katika ligi kuu nchini humo baada ya kuweka rekodi mpya katika ‘mechi...
28
Jay Moe aelezea anavyomkumbuka Mangwea
Tarehe kama ya leo mwaka 2013 alifariki mwanamuziki Albert Keneth 'Mangwea', aliyewika miaka ya 2000 kwa ngoma kama vile 'Ghetto Langu','Kimya Kimya''Nipe deal','Alikufa kwa n...
27
Wasanii na mionekano yao
Mwonekano ni kati ya vitu vinavyoweza kumpa msanii utambulisho wake ingawa wapo baadhi ya watu wamekuwa wakijiuliza kama kuna ulazima wa msanii kuvaa nguo za ajabu, mabwanga, ...
27
Alicia Keys akionesha tuzo zake
Mwanamuziki kutoka Marekani Alicia Keys, akionesha chumba maalumu ambacho ametunza tuzo zake mbalimbali alizopata kutokana na kazi yake ya muziki.Keys alianza kujihusisha na k...
27
Dora akanusha kuzaa na Mchungaji
Baada ya kuzuka uvumi kupitia mitandao ya kijamii ikieleza kuwa watoto watatu wa mchezaji wa ‘timu’ ya taifa ya Nigeria, Kayode Olarenwaju kuwa siyo wake, aliyekuw...
27
Miwani zenye saini ya Diddy zasitishwa kuuzwa
Kampuni ya America's Best Contacts & Eyeglasses imeripotiwa kusitisha kuuza fremu za miwani zenye saini ya Diddy kutokana na kuhusishwa kwenye kesi kadhaa za unyanyasaji w...
27
Mwigizaji Johnny Wactor afariki dunia
Mwigizaji kutoka Marekani Johnny Wactor ambaye alijulikana zaidi kupitia tamthilia ya ‘General Hospital’ amefariki dunia kwa kupigwa risasi katika moja ya mtaa wa ...
27
Grealish anusurika kuanguka paredi ya Man City
Mchezaji wa ‘klabu’ ya Manchester City, Jack Grealish anusurika kuanguka kwenye basi la wazi la Manchester City walilokuwa wakilitumia katika paredi ya kushehereke...
27
Kuwa makini na utapeli wa aina hii chuoni
Na Michael OneshaNiaje niaje watu wangu wa nguvu, leo ndani ya unicorner nimekusogezea mada ambayo inakuamsha wewe mwanafunzi wa chuo ambaye bado umeamua kukumbatia matatizo y...

Latest Post