03
Mauzinde akatwa masikio na kutelekezwa msituni
Hussein Abdala maarufu Mauzinde (30), mkazi wa Rahaleo Mkoa wa Mjini Magharibi, amekatwa masikio yote mawili na watu wasiojulikana kisha wakamtelekeza msituni.Inadaiwa kuwa tu...
03
Kaizer Chiefs yarudi tena kwa Nabi
‘Klabu’ ya Kaizer Chiefs imeonesha tena nia ya kutaka huduma ya aliyekuwa Kocha wa Yanga, Nasreddine Nabi baada ya mwaka jana kumkosa.Dili la Nabi kwenda Kaizer li...
03
Sababu ya Patoranking kuwa kimya kimuziki
Mwanamuziki kutoka Nigeria Patrick Nnaemeka 'Patoranking' amefichua kuwa ukimya wake kwenye muziki ulitokana na yeye kuwa masomoni.Kupitia ukurasa wake wa Instagram Patorankin...
03
Mr Ibu bado hajazikwa, kamati yaomba msaada
Baada ya kutangaza tarehe ya mazishi ya mwigizaji kutoka Nigeria Mr Ibu, mwenyekiti aliyeteuliwa kusimamia mazishi ya mwigizaji huyo Monday Diamond A. JP (Odoziobodo) ametoa w...
03
Bakari Machumu atangaza kustaafu MCL
Baada ya miaka minne ya mafanikio ya kiuongozi akiwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Bakari Machumu ametangaza kustaafu ifikapo Agost...
03
Davido kushughulika na wanaomfanyia ubaya
Mkali wa afrobeat kutoka nchini Nigeria Davido ameweka wazi kuwa sasa ataanza kushughulika na kulipiza kisasi kwa wale wote ambao wamewahi kumfanyia ubaya.Davido kupitia ukura...
03
Zijue chaguzi za serikali za wanafunzi vyuoni
Na Michael AndersonNiccolò Machiavelli , katika kitabu chake maarufu ‘The Prince’, aliandika kama kiongozi hawezi kuogopwa na kupendwa kwa wakati mmoja, ni ...
03
Jinsi ya kukabiliana na stress za kazi
Msongo wa mawazo ni hali ya shinikizo la kiakili au la kihisia linalotokana na mahitaji yanayofikiriwa. Kila siku, tunakabiliwa na hali nyingi ngumu ambazo wakati mwingine tun...
03
Kama unakitambi vaa hivi kuboresha muonekano wako
Kitambi ni moja ya kitu ambacho hukosesha raha baadhi ya watu hasa wanawake, na ndiyo maana baadhi yao hutumia njia mbalimbali kukiondoa, ikiwemo kufanya mazoezi, diet na njia...
03
Jinsi ya kutengeneza mafuta ya nazi
Biashara ya mafuta asili inazidi kukua kwa kasi kila uchwao, watu mbalimbali wamechukulia bidhaa hiyo kama sehemu ya kujipatia kipato.Mafuta ya nazi ni bidhaa ambayo hutokana ...
31
Trela ya Moana 2 yaweka rekodi
Trela ya animation ‘Moana 2’ imeweka rekodi ya kutazamwa na zaidi ya watu milioni 178 katika saa 24 tangu kuachiwa kwake na kuifanya kuwa trela ya kihistoria ambay...
31
Mawakili Megan wakanusha tuhuma zinazomkabili msanii huyo
Timu ya wanasheria wa Megan Thee Stallion inakanusha vikali madai yaliyotolewa na mpiga picha wa zamani wa msanii huyo Emilio Garcia kuhusiana na unyanyasaji wa kihisia na maz...
31
Mtangazaji azua gumzo, ameza nzi akiwa live
Mtangazaji nchi Marekani aitwaye Vanessa Welch anayefanya kazi katika kituo cha runinga cha Boston25 amezua gumzo na kuwashangaza wengi kupitia mitandao ya kijamii baada ya ku...
30
Celine Dion anatarajia kutumbuiza kwa mara ya mwisho
Mwanamuziki wa Marekani Celine Dion ambaye anasumbuliwa na ugonjwa adimu wa Stiff Person Syndrome (SPS), tangu mwaka 2022 ameripotiwa kupanga kutumbuiza kwa mara ya mwisho kat...

Latest Post