12
Will Smith na Martin Lawrence watoa ushauri kwa wapendanao
Baada ya kukutana na changamoto katika ndoa zao waigizaji Will Smith na Martin Lawrence, wametoa ushauri kwa wanandoa na wapenzi kwa kusisitiza kutendeana mema. Wawili hao wam...
12
Priske achukua mikoba ya Slot
Klabu ya Feyenoord kutoka Uholanzi imemteua Brian Priske kuwa kocha mkuu katika kikosi hicho akichukua mikoba ya Arne Slot aliyetimkia klabu ya #Liverpool. Priske mwenye umri ...
12
Musk aipinga Apple kutumia akili bandia
Mmiliki wa mtandao wa X zamani (Twitter) #ElonMusk amepinga kampuni ya Apple kutumia mfumo wa akili bandia (AI) kwenye iPhone na vifaa vyingine. Musk ameweka wazi kuwa hakubal...
12
Skales amchana wizkid
Rapa wa Nigeria #Skales amemtolea povu mkali wa Afrobeats #Wizkid baada ya kudai kuwa muziki wa Hip-hop umekufa. Skales ametoa povu wakati alipoulizwa swali juu ya Wiz kudai m...
12
Ray C: Roho yangu inasita kurudi Tanzania
Ikiwa ni mwendelezo wa historia ya mwanamuziki mkongwe wa Bongo Fleva nchini, Rehema Chalamila maarufu Ray C kueleza sababu ya kuondoka Tanzania na kuhamia Paris, Ufaransa, sa...
12
Harmonize na Rayvanny waingia mzigoni
Nyota wa muziki nchini, Harmonize na Rayvanny,wametangaza ujio wa ngoma yao mpya ikiwa ni ngoma inayosubiriwa kwa hamu. Tangazo hilo la ujio wa ngoma hiyo ya pamoja limezua gu...
12
Robinho ajifunza ufundi Tv gerezani
‘Fowadi’ wa zamani wa Real Madrid, Manchester City na Brazil, Robinho ameanza kujifunza ufundi wa vifaaa vya umeme, ikiwamo kutengeneza televisheni akiwa gerezani ...
12
Rihanna afunguka kuhusu ujauzito na kustaafu muziki
Baada ya kuzuka tetesi kupitia mitandao ya kijamii kuhusiana na mwanamuziki kutoka visiwa vya Barbados, Rihanna kutarajia kupata mtoto wa tatu na mpenzi wake A$AP Rocky, msani...
11
Ugonjwa wa Celine Dion ulimuanza mwaka 2008
Mwanamuziki wa Canada Celine Dion, ameweka wazi kuwa ugonjwa aliokuwa nao wa ‘Stiff Person Syndrome’ ulianza kumsumbua toka mwaka 2008. Dion ameyasema hayo wakati ...
11
Suge Knight adai Diddy ni FBI
Mwanzilishi mwenza wa rekodi lebo ya ‘Death Row Records’ kutoka Marekani Suge Knight, ambaye kwa sasa anatumikia kifungo cha miaka 28 jela amedai kuwa mkali wa Hip...
11
Rihanna anatarajia kupata mtoto wa tatu
Baada ya kuzua taharuki kufuatia ‘tisheti’ yake iliyoandikwa nimestaafu, sasa imeripotiwa kuwa mwanamuziki Rihanna anatarajia kupata mtoto wa tatu na mpenzi wake A...
11
Albamu ya Zuchu mbioni kutoka
Baada ya mzalishaji muziki nchini Trone, kuthibitisha ujio wa albamu ya mwanamuziki wa Bongo Fleva Zuchu, sasa msanii huyo amesema imekamilika kwa asilimia 100.Zuchu ametoa ta...
11
Vazi la heshima alilovaa mke wa Kanye West lageuka gumzo
Mke wa mwanamuziki kutoka Marekani #KanyeWest #BiancaSensori amewashangaza wengi baada ya kuvaa vazi la heshima akiwa matembezi na mumewe nchini Japan. Vazi alilovaa Bianca nd...
11
Gereza linalotoa huduma kama hoteli
Imani na hadithi za watu wengi zinaeleza kuwa gerezani ni sehemu ya mateso na dhiki, lakini hii inakuwa tofauti kwa gereza maarufu kutoka Norway liitwalo ‘Halden Prison&...

Latest Post