18
Mbappe arudishwa kambini, Kuvaa ‘maski’
Shirikisho la ‘soka’ la Ufaransa ‘FFF’ limethibitisha kurejea kambini kwa Nahodha na Mshambuliaji wa ‘timu’ ya taifa ya nchi hiyo Kylian Mb...
18
Mfahamu mwanaume mwenye watoto 165
Mwanaume aliyefahamika kwa jina la Ari Nagel kutoka Brooklyn nchini Marekani kwenye siku ya baba duniani inayoadhimishwa kila mwaka Juni 16, amesheherekea siku hiyo kwa kupata...
18
Morgan Freeman akerwa na tamasha la ‘Black history month’
Mwigizaji mkongwe wa Marekani Morgan Freeman amelikosoa tena tamasha la ‘Black History Month’ huku akidai kuwa analich...
18
Portable amtolea povu Davido
Mwanamuziki wa Nigeria, #Portable, amemtolea povu mkali wa Afrobeat Davido kwa kudai kuwa msanii huyo alimtumia vibaya kwa ajili ya kutafuta umaarufu na kumuacha bila msaada w...
18
Ja Rule awakosoa wanaume wanaovaa jeans za kuchanika
‘Rapa’ kutoka Marekani, #JaRule amewakosoa wanaume wanaopendelea kuvaa jeans zilizochanika huku akidai kuwa ni mtindo wa zamani. Kwa mujibu wa tovuti ya Daily Mail...
18
Kizz Daniel adaiwa kuachana na mkewe
Mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria Kizz Daniel ameripotiwa kuachana na mkewe, hii ni baada ya kufuta picha zote akiwa na mama watoto wake huyo. Kupitia ukurasa wa Instagram wa K...
18
Komasava ya Mondi yamfikia Swae Lee
Wimbo wa mwanamuziki Diamond Platnumz wa ‘Komasava’ aliomshirikisha Chley na Khalil Harrison umeendelea kuupiga mwingi na sasa umemfikia ‘rapa’ wa Mare...
18
Mbappe avunjika pua, Hatarini kukosa mechi zilizosalia
Staa wa Ufaransa na Real Madrid, Kylian Mbappe anaweza kukosa ‘mechi’ zilizosalia za michuano ya Euro 2024, baada ya kufanyiwa upasuaji wa pua utakaomweka nje kwa ...
17
Ali Kamwe: Ukitembea mikoani hauna makombe wewe ni ‘Panya Road’
Ofisa Habari wa klabu ya Yanga, AliKamwe amesema ameshangazwa na baadhi ya wasemaji wa klabu ambao wamekuwa wakitembea mikoani bil...
17
Mourinho amuwinda beki wa Man United
Kocha wa klabu ya Fenerbahce, Jose Mourinho ameripotiwa kuiwinda huduma ya beki wa Manchester United, Victor Lindelof ili kuimarisha kikosi chake msimu wa 2024/25. Tovuti ya S...
17
‘Calm Down’ ya Rema bado haijaisha makali
Wimbo wa mwanamuziki kutoka nchini Nigeria #Rema ‘Calm Down’ umeweka historia ya kuwa wimbo wa kwanza wa Afrika kuingiza bilioni 1 zinazohitajika nchini Marekani. ...
17
Zuchu: Natamani kuzaa na Diamond ila hajatia ubani
Mwanamuziki wa #BongoFleva, Zuchu, aonesha hisia zake za dhati kwa kutamani kuzaa mtoto na #DiamondPlatnumz lakini akiwa ndani ya ndoa. Zuchu ameyasema hayo kupitia Instastor ...
17
Ronaldinho: Sitaangalia mechi yeyote Brazil
Mwanasoka wa zamani Ronaldinho amedai kuwa hataishangilia wala kuangalia mechi yeyote ya Brazil kwenye fainali za Copa America kwa sababu amechoshwa na kipindi cha huzuni. Aki...
16
Ashika rekodi ya kuwa na nywele ndefu masikioni
Aliyekuwa mwalimu mkuu katika shule ya Madurai nchini India, Anthony Victor ndiye mtu pekee anayeshikilia rekodi ya Dunia ya Guinness kwa kuwa nywele ndefu zaidi za masikio du...

Latest Post