23
Mwaliko wa harusi wasuluhisha ugomvi wa Davido na Pinnck
Mwamuziki kutoka nchini Nigeria #Davido amemwalika harusi yake aliyekuwa Rais wa shirikisho la Soka la Nigeria, NFF #AmajuPinnick ingawa walikuwa katika mzozo wa kisheria. Taa...
23
Terry Joyce afariki dunia
Aliyekuwa mwigizaji wa vichekesho kutoka nchini Marekani Terry Joyce ambaye amewahi kuonekana katika kipindi cha Byker Grove na BBC Hebburn amefariki dunia. Kwa mujibu wa tovu...
23
Priyanka Chopra ampongeza mumewe kwa kumlea binti yao
Mwigizaji kutoka nchini India, #PriyankaChopra amempa pongezi mumewe #NickJonas na watu wengine walioshiriki kumlea binti yake Malti kwa wakati alipiokuwa katika kazi yake ya ...
22
Timberlake atumbuiza kwa mara ya kwanza baada ya kukamatwa
Ikiwa zimepita siku chache tuu tangu mwanamuzika wa Marekani, Justin Timberlake kukamatwa na polisi akiwa amelewa, msanii huyo ametumbuiza kwa mara ya kwanza katika tamasha la...
22
Batshuayi atishiwa maisha kisa Galatasaray
Staa wa zamani wa Chelsea, Michy Batshuayi ameripotiwa kukumbana na ‘meseji’ za vitisho vya maisha baada ya uhamisho wa Galatasaray.‘Fowadi’ huyo mweny...
22
Snoop Dogg: Kendrick Lamar wewe ni Mfalme
Mwanamuziki wa Marekani Snoop Dogg amempa ‘rapa’ Kendrick Lamar maua yake kwa kumtaja msanii huyo kuwa ni mfalme wa Magharibi.Kupitia video aliyopost Dogg kwenye i...
22
Idadi ya wanaochukia tattoo walizochora yaongezeka
Kulingana na uchunguzi wa kitaifa uliyofanywa na ‘Advanced Dermatology’ kutoka Illinois, Marekani umebaini kuwa idadi ya wanaochukia tattoo walizochora yaongezeka....
22
Sio kinyonge Roma aonesha chati zake na rapa wa Marekani
Mkali wa muziki wa Hip-hop kutoka Bongo Roma Mkatoliki ameonesha mazungumzo yake na ‘rapa’ kutoka Marekani Jadakiss, kwa lengo lake likiwa ni kufanya naye kazi.Kup...
22
Mchekeshaji Eric Omondi aachiwa huru
Baada ya mpenzi wa mchekeshaji Eric Omondi, Lynne Njihia kudai kuwa polisi wamekataa kuhusika na tukio la kumkamata Omondi, hatimaye mchekeshaji huyo ameachiwa huru.Kwa mujibu...
22
Amshitaki ‘Ex’ wake kwa kutomsindikiza uwanja wa ndege
Mwanamke mmoja kutoka New Zealand, aliyetambulika kwa jina la CL amemshitaki mpenzi wake wa zamani kwa kushindwa kumpeleka (kumsindikiza) uwanja wa ndege wakati wa kusafiri.Kw...
22
Cardi B atunukiwa tuzo ya muhamasishaji bora mitandaoni
Mwanamuziki kutoka Marekani Card B ametunukiwa tuzo ya muhamasishaji bora mitandaoni katika usiku wa tuzo za ‘Hollywood Unlocked Impact Awards’ zilizotolewa siku y...
22
Kionjo cha ngoma ya Diamond na Swae Lee
Baada ya ‘Rapa’ kutoka Marekani #SwaeLee kuomba kufanya remix ya wimbo wa Diamond wa #Komasava’ aliomshirikisha Chley na Khalil Harrison, ili aweze kuingiza ...
22
Diamond azama dm kwa Jason Derulo, aomba kufanya naye ‘kolabo’
 Mwanamuziki wa Bongo Diamond amezama upande wa meseji Instagram (DM) kwa mwanamuziki kutoka Marekani Jason Derulo kwa lengo ...
21
Polisi wakanusha kumshikilia Eric Omondi
Baada ya kusambaa kwa video mitandaoni ikimuonesha mchekeshaji wa Kenya, Eric Omondi akiwa amedakwa na polisi, mpenzi wa mchekeshaji huyo, Lynne Njihia amedai kuwa polisi wame...

Latest Post