29
Bilionea Jeff bado anatumia kiti na meza alivyoanzia maisha
Imezoeleka kuwa watu wengi wakipata pesa hubadili mienendo yao, na aina ya maisha waliyokuwa wakiishi mwanzo, lakini hii ni tofauti kwa Jeff Bezos, mwanzilishi wa kampuni ya A...
28
Betri za simu zinazodumu na chaji miaka 53 zatengenezwa China
Kampuni ya teknelojia kutoka nchini China, ‘Betavolt’ kwa mara ya kwanza imetengeneza ‘betri’ kwa ajili ya simu janja ambazo zitakuwa zikidumu na chaji...
28
Shabiki amkimbiza Refa uwanjani
Muamuzi wa mchezo kati ya ‘klabu’ ya  #PortVale dhidi ya ‘klabu’ ya  #Portsmouth alijikuta akishindwa kuendelea kuchezesha mpira baada ya sha...
28
Beki wa Man City penzini na staa wa The Suicide Squad
Beki wa ‘klabu’ #ManchesterCity, #RubenDias baada ya kuchana na mpenzi wake #ArabellaChi adaiwa kuwa kwenye mahusiano na muigizaji nyota kutoka nchini Ureno #Daiel...
28
Mwakinyo aondoka na mkanda wa WBO Zanzibar
Hatimaye bondia wa Tanzania, #HassanMwakinyo amefanikiwa kushinda mkanda wa ‘WBO’ Africa Middle Weight baada ya kumuangushia kipigo cha ‘KO’ ya raundi ...
28
Kocha wa Barcelona yamemshinda
‘Kocha’ wa ‘klabu’ ya #FCBarcelona, #XaviHernández amedai kuondoka ‘klabuni’ hapo mwishoni mwa msimu huu kutokana na matokeo mabaya ...
28
Nicki Minaj na Megan wangia kwenye bifu zito
Nyota wa muziki kutoka nchini Marekani #NickMinaj na Megan Thee Stallion wameingia kwenye bifu zito baada ya Nicki kufanya mzaha kuhusu mama yake Megani aliyefariki miaka sita...
27
Ifahamu siri ya msitu wenye umbo la gitaa
Mkulima mmoja kutoka nchini Argentina, Pedro Martin aliamua kumuenzi marehemu mkewe aliyefahamika kwa jina la Graciela kwa kutengeneza umbo la Gitaa kwa kutumia miti ili mkewe...
27
Pep adai kuwa atalala vizuri baada ya Klopp kusepa
‘Kocha’ mkuu wa ‘klabu’ ya Man city Pep Guardiola ameonesha kufurahi yake kwa kueleza kuwa sasa atapata usingi mzuri baada ya ‘kocha’ wa #L...
27
21 Savage anaamini katika familia masikini
‘Rapa’ wa Kimarekani 21 Savage, amefunguka na kuweka wazi kuwa familia za kimaskini ni bora kuliko familia za watu wenye uwezo.Savage ameyasema hayo wakati wa maho...
27
Mashabiki wa Chelsea wachukizwa na tangazo
Mashabiki wa ‘klabu’ ya Chelsea wachukizwa na kitendo cha ‘timu’ hiyo kuingia mkataba wa kuitangaza hoteli ya ‘Hilton Hotels’ baada ya kumt...
27
Dulla Makabila na Rushaynah ni wapenzi
Usiku wa kuamkila leo msanii wa singeli Dulla Makabila alikuwa na show Yombo ambapo alimpandisha ‘stejini’ aliyekuwa mke wa Haji Manara, Rushaynah jambo ambalo lil...
27
Jangwa labadilishwa kuwa Msitu
Kama tunavyojua kila Binadamu huishi na kufanya ayapendayo, hivyo hivyo kwa Hikmet Kaya, aliyekuwa msimamizi wa Misitu ya Kituruki aliamua kubadilisha jangwa na kuwa msitu amb...
27
Ayra Starr aomba radhi kutomsalimia mama Burna Boy
Baada ya wadau wa muziki kuchukizwa na kitendo cha msanii kutoka nchini Nigeria Ayra Starr kumpita Meneja na mama mzazi wa Burna Boy, Bi Bose Ogulu bila kumsalimia wakati wa s...

Latest Post