Ikiwa imepita siku moja tuu tangu mbunifu wa mavazi Beatrice Mwalingo, kujibuwa ‘komenti’ na Rais Samia Suluhu Hassan, sasa ni zamu ya Mtangazaji Salama Jabir, amb...
Serikali Korea Kusini imeonya na kuzuia matumizi ya vifaa vya kutolea mabaki ya chakula kwenye meno ‘toothpicks’ kutokana na baadhi ya watu kuvikaanga na kuvila.Se...
Producer wa muziki nchini Geof Master ambaye alikuwa akifanya kazi kwenye studio ya Tongwe Records amefariki dunia leo saa nne asubuhi kwenye Hospitali ya Saratani ya Ocean Ro...
Wanamuziki wanao ipeperusha Bendera ya #Nigeria #BurnaBoy, #Davido na mwanadada #Tems, wametajwa kuwania Tuzo za #NAACP kutoka nchini #Marekani.Orodha ya wasanii na vipengele ...
Huenda leo isiwe siku nzuri kwa mashabiki wa Liverpool baada ya ‘kocha’ wao Jurgen Klopp kutangaza kung'atuka ‘klabuni’ hapo baada ya msimu huu kumaliz...
Onyeabuchi Okafor ambaye ni mtoto wa kiume wa muigizaji kutoka nchini Nigeria John Okafor, maarufu kama Mr Ibu na mtoto wa kike wa kuasili aitwaye Jasmine Okekeagwu, wamedakwa...
Diamond, Mr Blue na Jay Melody wamkosha Babu Tale kwenye wimbo wao mpya uitwao 'Mapozi' uliachiwa saa kumi zilizopita. Kupitia post ya Diamond kwenye mtandao wa Instagram amba...
Mwanamuziki wa Singeli nchini Dulla Makabila, ameendelea kujipakulia minyama kutokana na wimbo wake uitwao 'Furahi' kukamatia namba moja kwenye mtandao wa YouTube kwa zaidi ya...
Ikiwa zimepita siku chache tangu mwanamuziki na mwanamitindo kutoka nchini Marekani, Kanye West kuonekana akiwaelekeza mapaparazi njia za kupata picha na video bora, sasa rapa...
Kwenye video ni mjisi aitwaye Gecko, ana sifa za kipekee ngozi yake inauwezo wa kutiririsha maji, yaani hailowi maji kabisa kitendo hicho humsaidia kupata fangasi na bakteria ...
Wanadiplomasia kutoka nchini Saudi Arabia wamevunja marufuku ya uuzwaji wa pombe nchini humo baada ya kufungua duka la kwanza la vinywaji hivyo, maalumu kwa Wanadiplomasia was...
Mwanamuziki wa hip-hop Mr Blue na nyota wa muziki Diamondplatnumz wanatarajia kuachia jiwe jipya leo Januari 25.Kupitia ukurasa wa Instagram wa Mondi ameweka wazi ujio wa jamb...
Kampuni ya Xpend kutoka nchini China inatarajia kuzindua gari aina ya ‘AEROHT eVTOL’ ambayo inauwezo wa kupaa kama ‘Drone’, gari hiyo itakuwa na uwezo ...
Kama umezoea kuona paka wafugwao majumbani fahamu kuwa kuna paka wa porini waitwao Kodkod, kwa jina la kisayansi hufahamika kama Leopardus Guigna.Paka hawa wadogo wa porini wa...