22
Man United wafanya maamuzi ya kumfukuza Ten Hag
Imeripotiwa kuwa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited tayari wameshafanya maamuzi juu ya ‘kocha’ wao  Erik ten Hag' ambapo atafukuzwa kazi hata kama watas...
22
Magauni yenye gharama zaidi duniani lipo la 77 bilioni
Haya ndiyo magauni yenye gharama zaidi duniani. Vipi unaweza kununua au tukuache na nguo zako za kariakoo? 1.Nightingale ya Kuala Lumpur yenye gharama ya dola 30 milioni sawa ...
22
CAF waomba radhi baada ya Berkane kususia mechi
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limeomba radhi wadau wa soka baada ya mechi ya kwanza ya nusu fainali ya mashindano ya kombe la shirikisho kutofanyika baada ya ‘klabu&rs...
22
Wasanii wajitokeza kumuaga Gardner
Wasanii mbalimbali wamejitokeza katika viwanja vya Leaders Club leo Aprili 22,2024, kumuaga marehemu Gardner Habash aliyekuwa mtangazaji wa Clouds Media katika kipindi cha Jah...
22
Ahmed Ally: Simba kama dhahabu ya moto
Siku moja baada ya kipigo cha pili mfululizo kutoka kwa ‘klabu’ ya #Yanga, Meneja habari na mawasiliano wa ‘klabu’ ya #Simba #AhmedAlly ameibuka kuwati...
22
Hakuna kinachodumu duniani
Muziki wa sasa unaisha utamu haraka. Kama ambavyo uhusiano wa sasa unavyoisha haraka kwa wapendanao. Utandawazi umekuja na faida kubwa sambamba na ukubwa wa matatizo. Zari ali...
21
Utafiti: Wanandoa wasiotumia mitandao ndio wenye furaha zaidi
Kwa mujibu wa utafiti uliyofanywa na Chuo Kikuu cha Kansas unaeleza kuwa wanandoa ambao hawajihusishi sana na mitandao ya kijamii huwa na furaha zaidi kuliko wanaojihusisha na...
21
Avunja rekodi ya kucheza Chess kwa saa 60
Bingwa wa mchezo wa chess kutoka nchini Nigeria, Tunde Onakoya ameingia kwenye vichwa vya habari baada ya kuvunja rekodi ya kucheza chess kwa saa 60 mfululizo mchezo uliyochez...
21
Kinywaji bure kama utaacha simu kwa muhudumu
Mgahawa maarufu kutoka nchini Italia uitwao ‘Al Condominio’ umekuja na mpango kabambe wa kuzuia wateja wake kutotumia simu wakati wa kula ambapo wametoa ofa ya kuw...
21
Gardner Habash kuzikwa jumanne Rombo
Mwili wa aliyekuwa mtangazaji wa kituo cha redio cha Clouds FM, Gardner Habash utaagwa kesho jijini Dar es Salaam na kuzikwa Jumanne Aprili 23, 2024 mkoani Kilimanjaro.Kwa muj...
21
Avunja rekodi kwa kukaa kwenye barafu saa nne
Mwanamume mmoja kutoka Poland aitwaye Ɓukasz Szpunar (53) amevunja rekodi na kuingia katika kitabu cha ‘Guinness World Records’ kwa kukaa kwenye barafu zaidi ya s...
22
Bifu la Quavo na Chris Brown lapamba moto
Baada ya ‘rapa’ Quavo kumjibu mwanamuziki Chris Barown kupitia ngoma yake ya ‘Tender’ ambayo mashairi yake yanamtuhumu Brown kuwa alikuwa akimdhalilish...
20
Yanga yaendeleza ubabe mbele ya Simba
Klabu ya #Yanga wameendeleza ubabe kwenye ‘Derby’ ya pili ya msimu huu baada ya kuibuka na ushindi mwingine wa mabao 2-1 dhidi ya watani, #SimbaSc katika dimba la ...
20
Man City yaanza kutafuta mbadala wa Pep
Mabosi wa klabu ya #ManchesterCity wameanza kutafuta ‘kocha’ mwingine baada ya mkataba wa kocha’ #PepGuardiola kuelekea ukingoni klabuni hapo. Awali iliripot...

Latest Post