30
Aweka rekodi ya kukumbatia miti 1,123 kwa saa moja
Mwanaharakati wa mazingira na mwanafunzi wa misitu kutoka nchini Ghana aitwaye Abubakar Tahiru (29) ameweka rekodi mpya ya dunia kwa kukumbatia miti 1,123, ndani ya saa moja. ...
30
Studio ya Jux kama kwa Diddy
Wanamuziki kutoka nchini Diamond, Jux, Billnass, Mbosso na mtayarishaji S2kizzy (Zombie) wako jikoni kuandaa ngoma ya pamoja ambapo kupitia video inayosambaa mitandaoni inawao...
30
50 Cent atia mguu ugomvi wa Chris Brown na Quavo
Rapa kutoka nchini Marekani 50 Cent ameingilia bifu la msanii Chris Brown na Quavo kwa kusema bifu hilo linaingia katika hatua mbaya ambayo itaenda kuharibu biashara ya muziki...
30
Rihanna: Nitavaa kawaida sana kwenye Met Gala
Ikiwa zimebaki siku chache tuu kuelekea tamasha la mitindo duniani lijulikanalo lijulikanalo kwa jina la ‘Met Gala’ mwanamuziki Rihanna amedai kuwa mwaka huu atava...
30
Taylor Swift wa moto Billboard, Ajaza ngoma zake
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Taylor Swift ameutawala mtandao wa Billboard Hot 100, baada ya nyimbo zake 10 kuingia katika chati ya Billboard Top 10, ngoma hizo pia zipo ...
30
Mtoto wa Beyonce kusikika kwenye animation ya The lion King
Mtoto wa mwanamuziki kutoka nchini Marekani Beyonce, Blue Ivy (11) ameripotiwa kuwa sauti yake itatumiaka kwa mara ya kwanza katika filamu (animation) ya ‘Mufasa: The Li...
30
Harmonize atupa dongo gizani, Amtania Ibraah
Mwanamuziki wa #BongoFleva, Harmonize amefanya utani kwa #Ibraah ambaye ni msanii anayemsimamia katika lebo yake ya Konde Gang akimwambia kuwa yeye ndiyo amemtoa kimuziki. Har...
30
Kambole sababu ya Yanga kufungiwa kusajili
Shirikisho la la mpira wa miguu (FIFA) limeifungia ‘klabu’ #YangaSc kusajili mpaka itakapomlipa aliyekuwa mchezaji wake Lazarus Kambole baada ya mchezaji huyo kush...
30
Davido, Wizkid kama Diamond na Konde hapatoshi
Wanamuziki kutoka nchini Nigeria, Davido pamoja na Wizkid wapo katika bifu zito, baada ya shabiki wa Wizkid katika mtandao wa X (zamani Twitter) kumuomba msanii huyo atoe ngom...
29
Hersi: Usipokuwa na uelewa utasajili hovyo, Utatimua wachezaji kwa hisia
Rais wa Klabu ya #Yanga #HersiSaid amesema wakati wa usajili kama muhusika asipokuwa na uelewa kuhusu wachezaji anaweza kumsajili ...
29
Don Jazzy amkataa Wizkid instagram
Mwanamuziki na mmiliki wa Lebo ya ‘Mavin Records’ kutoka nchini Nigeria, DonJazzy amem-unfollow msanii #Wizkid katika mtandao wa #Instagram baada ya msanii huyo ku...
29
Saa ya abiria aliyezama meli ya Titanic yauzwa sh 3.7 bilioni
Saa ya mfukoni ya mfanyabiashara mkubwa aliyefariki dunia katika ajali ya meli ya Titanic, John Jacob Astor imepigwa mnada mara sita zaidi ya bei iliyokuwa ikiuzwa awali na ku...
29
Chris brown aifanyia fitina show ya Quavo
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani Chris Brown amedaiwa  kuwa alinunua viti vyote vya mbele kwenye moja ya show ya hasimu wake Quavo ili msanii huyo aonekane hajaj...
29
Karen: Endeleeni kumuombea baba angu
Mwanamuziki #MalkiaKaren amewashukuru ndugu, jamaa na marafiki ambao walishiriki kwenye msiba wa Baba yake mzazi  aliyekuwa mtangazaji wa Clouds FM,  Gardiner Habash...

Latest Post