26
Kiungo wa Chelsea akosa mechi kisa upasuaji
Kiungo wa klabu ya #Chelsea, #EnzoFernandez atakosa mechi zote zilizobakia za msimu huu baada ya kufanyiwa upasuaji wa nyama za paja ili awe ‘fiti’ kwa ajili ya ku...
26
Apple yatuhumiwa kutumia madini ya wizi
Serikali ya Congo imeishutumu Kampuni ya Apple kwa kutumia Madini yaliyochimbwa kinyume na sheria Mashariki mwa nchi hiyo kutengeneza bidhaa zake. Kupitia mawakili wa nchi hiy...
26
Wolper, Batuli, Wema, Wamlilia aliyekuwa mpiga picha wa Millard Ayo
Mpiga picha na mwandishi wa habari wa #Millardayo Noel Mwingila maarufu kama Zuchy amefariki dunia leo Alfajiri baada ya kupata aj...
26
Palace watangaza dau kwa Man U kumchukua Osile
Imeripotiwa kuwa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited italazimika kulipa pauni 60 milioni ili kumpata mchezaji wa klabu ya Crystal Palace F.C, Michael Olise msimu ujao. Kw...
26
Drake aondoa ngoma aliyotumia sauti ya Tupac
Baada ya mwanasheria wa familia ya Tupac, Howard King kumpa saa 24  rapa Drake kufuta ngoma ya‘ Taylor Made Freestyle’ aliyotumia AI (akili bandia) kutengenez...
25
Biden aweka saini sheria itakayoweza kuindoa tiktok Marekani
Rais wa Marekani Joe Biden ametia saini muswada wa sheria ambao endapo utakiukwa mtandao wa TikTok utapigwa marufuku kutumika nchini humo. Baraza la wawakilishi la Bunge la Ma...
25
Xavi bado yupo sana Barcelona
Baada ya kutangaza kuondoka mwishoni mwa msimu katika klabu ya #Barcelona, kocha #XaviHernandez amebadili msimamo wake kwa kuthibitisha kuwa atabaki klabuni hapo hadi mwisho w...
25
Aliyehusishwa kubeba dawa za kulevya za Diddy akutwa na hatia
Kijana moja aliyedaiwa kuwa ndiyo mbebaji wa dawa za kulevya za #Diddy, #BrendanPaul ameshitakiwa jana Jumatano kwa kosa la kukutwa na dawa aina Cocaine baada ya kukamatwa mwe...
25
Huwenda Ne-Yo yakamkuta ya Diddy
Mama watoto wa mwanamuziki kutoka nchini Marekani, Ne-Yo anayefahamika kwa jina la Big Sade amemfananisha msanii huyo na Diddy kwa kumuita 'Diddy Junior'. Kwa mujibu wa Tmz Ne...
25
Familia ya Tupac kumburuza Drake mahakamani
Familia ya marehemu rapa Tupac ipo kwenye mpango wa kumfungulia mashitaka mwanamuziki Drake baada ya kutumia AI (akili bandia)kutengeneza sauti ya Tupac katika ngoma yake aliy...
25
Walimu waruhusiwa kuingia na bunduki shuleni
Wabunge wa jimbo la Tennessee nchini Marekani wamepitisha mswada wa kuwaruhusu walimu na wafanyikazi wengine wa shule kubeba bunduki shuleni siku ya Jumanne. Imeelezwa kuwa wa...
24
Ten Hag na wachezaji wake wapigwa rungu
Kocha wa klabu ya #ManchesterUnited, Erik ten Hag na wachezaji wake watalazimika kupunguzwa mishahara kama watashindwa kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa Ulaya. Kwa mujibu wa The Sun...
24
Man U wamuwinda beki wa Inter Milan
Inadaiwa kuwa klabu ya #ManchesterUnited imepanga kuweka dau nono kwa ajili ya kumununua beki wa klabu ya #InterMilan, #AlessandroBastoni kabla ya dirisha la usajili msimu uja...
24
Megan atuhumiwa kwa unyanyasaji wa kihisia
Mwanamuziki kutoka Marekani, #MeganTheeSTallion amefunguliwa mashitaka na aliyekuwa mpiga picha wake #EmilioGarcia kwa unyanyasaji wa kihisia na mazingira magumu ya kazi. Emil...

Latest Post