29
Thiago amalizana na Chelsea
Beki na nahodha wa klabu ya #Chelsea, #ThiagoSilva ambaye pia alikuwa nahodha wa timu ya Taifa ya Brazil amethibitisha kuondoka klabuni hapo mwishoni mwa msimu huu. Thiago aki...
28
Kifahamu kijiji kinachotumia jua bandia
Binadamu huwa wabunifu zaidi wanapopitia changamoto fulani, kauli hiyo unaweza kuielezea kutokana na ubunifu wa kulileta jua kwa kutumia kioo katika Kijiji cha Viganella nchin...
28
Vanessa akanusha kuwa na ujauzito
Baada ya kushare video kupitia ukurasa wake wa Instagram na kuzua gumzo kupitia mitandao ya kijamii kiwa ni mjamzito mwanamuziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee amekanusha taarif...
28
Tuchel agoma kushawishiwa na mashabiki kubaki Bayern Munich
Imeripotiwa kuwa kocha wa #BayernMunich, Thomas Tuchel amedai kuwa hatakubali kushawishiwa na ombi la mashabiki kumtaka abakie katika klabu hiyo. Kwa mujibu wa tovuti ya Sky S...
28
Harmonize: Nakaribia kujuta kusaidiwa na Diamond
Staa wa #BongoFleva #Harmonize ni kama ameonyesha kuchoshwa na kauli ambayo #DiamondPlatnumz anapenda kuisema mara kwa mara kuwa yeye ndiyo aliyemtoa katika muziki. Harmonize ...
28
Mawakili wa Diddy waipangua kesi moja
Mawakili wa mwanamuziki kutoka nchini Marekani #PDiddy ambaye anakabiliwa na kesi mbalimbali za unyanyasaji wa kijinsia wamesema wana mpango wa kuyakataa madai ya moja ya kesi...
28
Utafiti: Kuoga hakuna faida yoyote kwa afya
Inadaiwa kuwa tabia ya kuoga kila siku haina faida yoyote kwa afya ya binadamu, bali watu hufanya hivyo, wakihofia kutengwa na jamii, kwa sababu ya kunuka. Kwa mujibu wa tafit...
27
De Gea ajiandaa kurudi uwanjani
Kipa wa zamani wa klabu ya Manchester United, David de Gea mwenye umri wa miaka 33, amerejea kwenye uwanja wa mazoezi kujifua upya baada ya kuwa nje ya uwanja kwa mwaka mmoja....
27
Ashinda taji la Miss Universe akiwa na miaka 60
Mwanamke mmoja kutoka nchini Argentina anayefahamika kwa jina la Alejandra Rodriquez, amezua gumzo mitandaoni baada kushiriki mashindano ya Miss Universe akiwa na miaka 60 na ...
27
Polisi: Mwenye taarifa sahihi kifo cha Zuchy azilete
Jeshi la Polisi nchini Tanzania limewataka watu wenye taarifa tofauti juu ya ajali ya bodaboda iliyotokea alfajiri ya jana Ijumaa Aprili 26, 2024, eneo la Makonde, mkoani Dar ...
27
Post Malone ataja sababu ya kuchora tattoo usoni
Rapa maarufu kutoka nchini Marekani #PostMalone amefunguka sababu ya kuchora tattoo usoni akidai kuwa alikuwa anatafuta mwonekano mzuri wa uso wake. Kwa mujibu wa tovuti ya Da...
27
Utafiti: Paka hufurahi zaidi kuishi na binadamu wema
Kwa mujibu wa watafiti katika maabara ya Human-Animal Interaction (HAI) ya Chuo Kikuu cha Oregon State cha nchini Marekani webaini kuwa paka wanafurahia maisha zaidi wakiishi ...
27
Ex wa Cr7 agoma kubaki single
'Hapoi haboi' kauli hii unaweza kumwelezea aliyekuwa mpenzi wa  mchezaji wa klabu ya #AlNassr, #CristianoRonaldo, Irina Shayk baada ya kuachana na mpenzi wake wa sasa, To...
27
Liverpool yampata mrithi wa Klopp
Klabu ya Liverpool ya England imefikia makubaliano na timu ya Feyenoord iliyo katika Ligi Kuu Uholanzi juu ya kumchukua kocha wa timu hiyo, Arne Slot kwa ajili ya kukiongoza k...

Latest Post