03
Mume wa Zari aomba pambano na Harmonize
Mume wa mfanyabiashara Zari, Shakib Lutaaya ameomba kuzichapa na mwanamuziki wa #Bongofleva nchini Harmonize, hii ni baada ya Konde kupitia instastory yake kudai kuwa ameamua ...
03
Mauzo ya simu za Iphone yashuka duniani
Mauzo ya simu za iPhone zinazotengenezwa na kampuni ya Apple yameshuka duniani kote kwa asilimia 10 katika miezi mitatu ya mwanzo ya mwaka 2024.Hayo yamebainishwa na utafiti u...
03
Kendrick Lamar aendelea kutamba kwenye chati
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani Kendrick Lamar ameendelea kuupiga mwingi kupitia ngoma yake ya ‘Euphoria’ aliyoiimba kwa ajili ya kumjibu Drake, ambapo i...
03
Mke wa Mohbad akanusha kupima DNA kwa siri
Omowunmi Aloba, maarufu Wunmi mke wa marehemu msanii kutoka nchini Nigeria Mohbad amekanusha kufanya vipimo vya siri vya nasaba deoxyribonucleic acid (DNA) kwa mwanaye, Liam M...
03
Chris Brown ampa maua yake Tina Davis
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Chris Brown amerudisha fadhila kwa mmiliki wa kampuni ya kurekodi na usambazaji muziki ya Empire, Tina Davis kwa kumpa maua yake mwanamama h...
03
Kocha wa Tottenham alia na mastaa wake
Kocha wa Tottenham Hotspur Ange Postecoglou amesema timu yake imecheza vibaya ndiyo maana imepoteza dhidi ya Chelsea na hakuna sababu nyingine iliyochangia kichapo hicho.Spurs...
03
Mgahawa wapata umaarufu baada ya Lamar kuutaja
Mgahawa mmoja uliyopo Toronto nchini Canada uitwao ‘New Ho King’ umepata umaarufu na kuwa na wateja wengi baada ya ‘rapa’ Kendrick Lamar kuutaja kwenye...
03
Haddish asimulia alivyoshughulika na wanao-comment vibaya mtandaoni
Mwigizaji na mchekeshaji kutoka nchini Marekani, Tiffany Haddish amedai kuwa ameanza kuwatambua wale wote waliokuwa wakituma manen...
02
Benzio: R.Kelly anastahili nafasi ya pili
Mmiliki wa vyombo vya habari na ‘rapa’ kutoka nchini Marekani Raymond Scott, maarufu ‘Benzino’ amemkingia kifua mkali wa R&B, R. Kelly akitaka msan...
02
Makonda awaapisha Wadudu kulinda amani Arusha
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amewaapisha vijana mkoa huo wenye staili ya kipekee kuanzia mavazi hadi utembeaji maarufu Wadudu ili kuwa watu wema, waadilifu katika kute...
02
Tyla awajibu wanaomfananisha na Rihanna
Japo siyo mbaya mtu kulinganishwa na mtu mwingine lakini kwa mwanamuziki kutoka nchini Afrika Kusini Tyla ameonekana kutopendezwa na suala hilo, hii ni baada ya wadau kuungani...
02
Liverpool yazindua uzi wa mwaka 1984
Liverpool imezidua jezi mpya kwa ajili ya msimu ujao 2024-25, huku mashabiki wakiifananisha na ya mwaka 1984 kutokana na muundo wake. Liverpool inajiandaa na maisha  bila...
02
Rayvanny ajiita Michael Jackson wa Afrika
Mwanamuziki wa #BongoFleva, #Rayvanny maarufu Chui amejiita Michael Jackson wa Afrika Mashariki baada ya mapokezi makubwa aliyoyapata alivyotua nchini Burundi kwa ajili ya kuf...
02
Kim Kardashian amalizana Beckham Jr
Mwanamitindo na mfanyabiashara kutoka nchini Marekani #KimKardashian amedaiwa kuachana na mwanasoka Odell Beckham Jr baada ya kutoonekana naye pamoja hivi karibuni. Kwa mujibu...

Latest Post