20
Azam wainasa saini ya beki wa Mali
‘Klabu’ ya #AzamFC imefikia makubaliano na akademi ya Yeleen Olympique ya nchini Mali kwa ajili ya kumnunua mchezaji wa kimataifa wa nchi hiyo, Yoro Mamadou Diaby....
20
Tyla: Tems Baby amefungua milango kwa wasanii
Mwanamuziki kutoka nchini Afrika Kusini #Tyla amempongeza na kumsifia msanii mwenzake kutoka Nigeria #TemsBaby kuwa anakipaji kikubwa na amefungua milango kwa wasanii wengine....
20
Bi Ubwa wa Zahanati ya Kijiji afariki dunia
Aliyekuwa mwigizaji wa tamthilia ya Zahanati ya Kijiji,  Bi Ubwa amefariki dunia leo Jumamosi Aprili 20, 2024, mtayarishaji wa tamthilia hiyo  Abdully Usanga amethib...
20
Gardner afariki dunia
Mtangazaji maarufu wa Redio ya Clouds FM, Gardner G Habash amefariki dunia, Msemaji wa Kampuni Clouds Media, Emilian Mallya amethibitisha. Gardner aliyekuwa mtangazaji wa kipi...
19
Bifu la Kim na Taylor laanza upya
Album mpya ya mwanamuziki kutoka nchini Marekani, Taylor Swift iitwayo ‘The Tortured Poets Departmen’ imeripotiwa kuwa nyimbo moja ambayo imemuongelea mfanyabiasha...
19
Ziiki yakanusha tuhuma za Diamond
Kampuni ya Usambazaji Muziki ya Ziiki Media imetoa maelezo na kukanusha malalamiko ya mwanamuziki Naseeb Abdul Diamondplatnumz yaliyodai kuwa kampuni hiyo imewazuia kuachia le...
19
Davido kuwapeleka vijana kimataifa
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria, #Davido amezindua lebo yake iitwayo ‘Nine+ Records’ akishirikiana na kampuni ya usambazaji wa muziki ya #UnitedMasters. Davido a...
19
Basata yazindua linki ya uwasilishaji kazi za wasanii
Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), limetangaza mfumo rasmi utakaotumika kuwasilisha kazi katika tuzo za muziki Tanzania (TMA). Akizungumza na waandishi wa habari, leo Aprili 1...
19
Diamond aitolea uvivu Ziiki
Kwa mara nyingine tena Kampuni ya Usambazaji Muziki ya Ziiki Media, inaingia kwenye mgogoro na msanii wa Bongo Fleva, awamu hii Diamond ametoa tuhuma dhidi yao akidai kuwa Zii...
19
Spider -Man 4 kuingizwa jikoni mwaka huu
Marvel Studios na Sony Pictures zipo kwenye mpango wa kuanza kurekodi filamu ya "Spider-Man 4" itayoongozwa na Tom Holland, Septemba mwaka huu, na itatolewa mwishoni mwa 2025....
19
Ben: Kanumba angekuwa hai macho yote yangekuwa kwetu
Mwigizaji Ben wakati akifanya mahojiano na @mwananchiscoop amesema kuwa kwa sasa kuna baadhi ya stori ambazo anafikiria kama angekuwepo Kanumba angezifanya vizuri zaidi kuliko...
18
Cr7 ashinda kesi dhidi ya Juventus
Nyota wa soka duniani #CristianoRonaldo ameshinda kesi ya madai ya mshahara dhidi ya klabu yake ya zamani ya #Juventus. Klabu hiyo inatakiwa kumlipa CR7 kiasi Sh26.9 bilioni k...
18
Faida ya wafanyakazi kujifunza huduma ya kwanza
Na Aisha Lungato Katika maisha ya kawaida mambo hatari yanayoweza kusababisha mtu kupoteze maisha ni pale anapokosa msaada wa huduma ya kwanza pindi anapokabiliwa na ugonjwa a...
18
Biashara ya uji wa mchele ilivyo na faida
BIASHARA YA UJI WA MCHELE ILIVYO NA FAIDANa Aisha Lungato Sikukuu zimeisha maisha yanaendelea. Leo nimekuletea biashara ya uji wa Mchele. Kwa haraka unaweza kuona ni biashara ...

Latest Post