07
FAST & FURIOUS toleo la mwisho kuachiwa 2026
Mwongozaji wa filamu ya ‘Fast & furious 11’, kutoka nchini Marekani # LouisLeterrier amethibitisha kuwa toleo la mwisho la filamu hiyo litaachiwa mwaka 2026&nb...
07
Ten Hag hajapoteza matumaini na Man United
Kocha wa Manchester United, Erik ten Hag amesema bado anataka kuendelea kupambana kuhakikisha anakuwa kocha wa timu hiyo msimu ujao pamoja na kupata matokeo mabaya. United ili...
07
Japan yazindua intaneti ya 6G
Makampuni ya mawasiliano ya simu nchini Japan, DOCOMO, NTT Corporation, NEC Corporation, na Fujitsu yamezindua kifaa cha kwanza cha 6G dunaini ambacho hutoa kasi ya utumiaji d...
07
Ashitakiwa kwa kumuua mkewe kisa bili ya hospitali
Mwanaume mmoja kutoka nchini Marekani aliyefahamika kwa jina la Ronnie Wiggs ameshitakiwa kwa kosa la kumuua mkewe akiwa Hospitali baada ya kushindwa kulipa ‘bili’...
07
Babu Tale aamka na Jaymelody
Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki na Meneja wa msanii Diamond, Babu Tale kama ilivyo kawaida yake kutoa maua kwa wasanii mbalimbali nchini leo ameamka na mwanamuziki #Jaymel...
07
Rihanna aikacha Met Gala 2024
Wakati wadau mbalimbali wakisubiri kuona muonekano wa mwanamuziki Rihanna katika usiku wa tamasha la mitindo duniani ‘Met Gala’ lililofanyika katika ukumbi wa &lsq...
06
Simba inaongoza kwa wafuasi wengi mitandaoni
Klabu ya Simba ndiyo yenye wafuasi wengi kwenye mitandao ya kijamii kwa upande wa Afrika Mashariki. Timu hiyo inakaribia wafuasi milioni 11, kupitia kurasa zake za mitandao ya...
06
Pisi kali hana pigo hizi
Pisi Kali hanywi pombe kali wala ngumu. Anakunywa pombe laini tena zisizozidi chupa tatu kwa wikiendi tu. Siku za kawaida pisi kali hagusi pombe wala hana outing. Pisi kali ak...
06
Madonna aweka rekodi kufanya show mbele ya mashabiki milioni 1.6
Mkongwe wa muziki wa Pop, nchini Marekani Madonna ameweka rekodi kwa kuandaa tamasha kubwa kwenye ufukwe wa Copacabana katika mji wa Rio de Janeiro, Brazili siku ya Jumamosi. ...
06
West Ham yapata mrithi wa Moyes
Meneja wa zamani wa klabu ya #RealMadrid, Julen Lopetegui amefikia makubaliano na timu ya West Ham United kwa ajili ya kuchukua mikoba ya David Moyes kama kocha mkuu klabuni h...
05
Mkongwe wa Pop Uingereza atabiri kifo chake
Mkongwe wa nyimbo za Pop nchini Uingereza, Spandau Ballet Martin Kemp (62) amedai kuwa amebakiza miaka 10 ya kuishi baada ya kuteseka na uvimbe kwenye ubongo. Kwamujibu wa Tov...
05
Usher awakosha mashabiki kupiga show kwenye baridi kali
Mwanamuziki maarufu kutoka nchini Marekani, Usher Raymond amewafurahisha mashabiki wake kwa kuendelea na show licha ya hali mbaya ya hewa ya baridi kali iliyotokea akiwa katik...
05
Mwanamitindo Nada afunga ndoa na bilionea wa PTL
Mkurugenzi kampuni inayojihusisha na mitindo ya nguo za wanawake Pretty Little Thing (PLT), bilionea #UmarKamani amefunga ndoa na mwanamitindo kutoka nchini Uingereza #NadaAde...
05
Director Khalfani kuzikwa leo saa 10 jioni
Maziko ya muongozaji wa video za muziki nchini Tanzania na filamu maarufu Director Khalfani Khalmandro yatafanyika leo saa 10 alasiri katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar es S...

Latest Post