09
Kyle Walker na mkewe kusuluhisha matatizo yao
Baada ya kutokuwa kwenye maelewano kwa muda wa miezi mitano mchezaji wa ‘klabu’ ya #ManchesterCity, #KyleWalker na mkewe #AnnieKilner wameonekana kuwa katika hatua...
09
Leo dunia inaadhimisha siku ya soksi zilizopotea
Kila ifikapo tarehe ya leo Mei 9, ulimwengu unaadhimisha siku ya soksi zilizopotea. Katika siku hii mataifa mbalimbali husherehekea kwa kutupa soksi zilizobaki ambazo hazina m...
09
Tabu afunguka alivyorudia darasa mara tisa
Waswahili husema mcheza kwao hutunzwa, hivi ndivyo lafudhi ya Kimakonde ilivyobadili maisha ya Tabu Mtingita mzaliwa wa Mtwara kuwa miongoni mwa waigizaji mahiri nchini Tanzan...
09
Mike Tyson ala nyama mbichi kujiandaa na pambano
Bondia wa ngumi za kulipwa kutoka Marekani, Mike Tyson ameweka wazi kuwa kwa sasa anakula nyama mbichi kwa ajili ya kujiandaa na pambano lake dhidi ya Jake Paul linalotarajiwa...
08
Ndala kuamua fainali ya klabu bingwa Afrika
Shirikisho la soka Barani Afrika (CAF), limemteua mwamuzi Jean Jacques Ndala kutoka nchini Congo, kusimamia mchezo wa mkondo wa pili wa Fainali ya ‘klabu’ bingwa A...
08
Martinez kurudi tena uwanjani
Mchezaji wa #ManchesterUnited, #LisandroMartinez anatarajiwa kurudi tena uwanjani katika mchezo wa fainali ya kombe la FA utakaochezwa Mei 25, 2024 katika uwanja wa #Wembley n...
08
50 Cent amshitaki Ex wake kwa kumchafulia CV
‘Rapa’ kutoka Marekani 50 Cent amemshitaki mpenzi wake wa zamani aitwaye Daphne Joy kwa kumshutumu hadharani kuwa aliwahi kumfanyia unyanyasaji wa kimwili. Kwa muj...
08
Kapteni Edward Smith wa Titanic Afariki dunia
Mwigizaji maarufu kutoka nchini Marekani Bernard Hill, ambaye alitambulika zaidi kupitia filamu ya Titanic amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 79. Taarifa ya kifo chake ili...
08
Mafundi 163 watumika kutengeneza vazi la Alia Bhatt
Vazi alilovaa mwigizaji kutoka nchini India Alia Bhatt kwenye tamasha la mitindo duniani ‘Met Gala’ lililofanyika siku ya Jumatatu Mei 6 katika ukumbi wa ‘Me...
08
Idadi ya mamilionea yaongezeka
Idadi ya mamilionea kutoka katika jiji la New York nchini Marekani imeongezeka katika miaka ya hivi karibuni huku ikikadiriwa kuwa mmoja kati ya wakazi 24 anatajwa kuwa ni mil...
08
Thiago kurudisha majeshi Fluminense FC
Mchezaji wa zamani wa ‘klabu’ ya #PSG, #ThiagoSilva ameamua kurudi kwenye ‘ligi’ kuu ya #Brazil baada ya kuthibitisha kuondoka katika klabu ya #Chelsea...
07
Akili bandia yatumia kudanganya uwepo wa Rihanna Met Gala
Baada ya kuripotiwa kuwa mwanamuziki Rihanna hakuweza kuhudhuria katika tamasha la mitindo la ‘Met Gala’ lililofanyika nchini Marekani, baadhi ya watu wametengenez...
07
Tyla ndani ya Met Gala kwa mara ya kwanza
Mwanamuziki kutoka nchini Afrika Kusini Tyla naye amekuwa ni miongoni wa mastaa waliyohudhuria katika usiku wa tamasha la mitindo nchini Marekani liitwalo ‘Met Gala&rsqu...
07
Jemie: Casemiro Hafai kuwepo Man United
Mwana-soka wa zamani wa ‘klabu’ ya Liverpool na Uingereza #JemieCarragher amedai kuwa mchezaji wa Manchester United Casemiro hafai kuwa ‘klabuni’ hapo ...

Latest Post