08
Mashabiki wa Dortmund warusha dhahabu bandia uwanjani
Mashabiki wa ‘Klabu’ ya Borussia Dortmund walifanya maandamano katika ‘mechi’ ya Dortmund dhidi ya Newcastle iliyochezwa usiku wa kuamkia leo kwa kurus...
08
Kunguni waibukia Korea Kusini
Ni wiki kadhaa zimepita tangu wadudu aina ya Kunguni kutawala jiji Paris nchini Ufaransa, wadudu hao wamegeuza muelekeo na kuibukia nchini Korea Kusini. Kwa mujibu wa BBC imee...
08
Sabaha: Watoto wangu wanatamani niache muziki
Msanii mkongwe wa muziki wa taarabu #SabahaSalum amedai kuwa watoto wake wanasauti nzuri ya kuimba lakini hawapo tayari na wanaomba Mungu aache kuimba taarabu. Akizungumza na ...
08
Afariki baada ya kutumia dawa za kupunguza uzito
Mwanamke mmoja kutoka nchini Austalia aliyejulikana kwa jina la Trish Webster, amefariki dunia baada ya kutumia dawa za kupunguza uzito ili aweze kuvaa gauni la ndoto yake kat...
08
Aliyetaka kumteka mtoto wa Neymar akamatwa
Kijana wa miaka 20 anashikiliwa na polisi baada ya jaribio la kutaka kumteka mtoto wa kike wa mchezaji kutoka ‘Klabu’ ya Al Hilal, #Neymar baada ya kuvamia nyumba ...
08
Billnass achukua muongozo wa maadili BASATA
Baada ya kufungiwa miezi mitatu kwa kutojihusisha na kazi za sanaa na ‘faini’ ya milioni tatu  mwanamuziki #Billnass naye amefika Baraza la Sanaa Taifa #BASAT...
07
Seaun adai Nigeria wamewekeza zaidi kwenye muziki sio elimu
Mwanamuziki mkongwe nchini #Nigeria, #SeunKuti amedai kuwa muziki wa Nigeria unafanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa sababu wamewekeza pesa nyingi kwenye muziki na sio elimu. Kwa mu...
07
Avunja rekodi ya kupika kwa saa 199
Baada ya mpishi kutoka nchini #Nigeria, #HildaBaci kuvunja ‘rekodi’ ya dunia ya Guinness kwa kupika siku nne mfululizo (saa 100) hatimaye ‘rekodi’ hiyo...
07
Wachezaji Yanga wapewa zawadi milioni 700
Wakati ‘Klabu’ ya Simba ikisitisha mkataba wake na aliyekuwa ‘kocha’ mkuu Robertinho, Uongozi wa ‘Klabu’ ya Yanga baada ya kufurahishwa na ...
07
Muhimbili kupandikiza nyonga na magoti bandia
Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila kwa kushirikiana na Hospitali ya Queen Elizabeth ya nchini Uingereza itafanya kambi Maalumu ya upasuaji wa kuweka nyonga na magoti band...
07
Mashabiki waomba Manara aachiwe huru
Mashabiki kutoka katika Tawi la Temboni wameliomba Shirikisho la ‘Soka’ Tanzania (TFF) kumuachia huru aliyekuwa msemaji wa ‘Klabu’ ya Yanga Haji Manara...
07
Simba yampa Thank you Robertinho
‘Klabu’ ya #Simba imechukua maamuzi ya kuvunja mkataba wa aliyekuwa ‘Kocha’ Mkuu wa ‘timu’ hiyo Robertinho Oliveira. Vilevile ‘timu&r...
07
Best Naso adai kufanyiwa uhuni kwenye muziki
Msanii wa #BongoFleva, #BestNaso adai kufanyiwa uhuni kwenye muziki baada ya kuachia video yake ya ‘Simpendi Mama’ kutoka kwenye EP yake ya ‘Top4 Story&rsquo...
07
Robertinho awekwa kikaangoni, Kipigo cha Yanga
Kocha mkuu wa ‘Klabu’ ya Simba Roberto Oliveira 'Robertinho' anatajwa kukalia kuti kavu kutokana na matokeo ya ‘mechi’ iliyochezwa juzi kwenye Uwanja w...

Latest Post