01
Nigeria kama Marekani, Mabifu kila kona
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria, Kizz Daniel ameingia midomoni mwa watu baada ya majibizano yaliyotokea kati yake na msanii mwezie Tekno huku mashabiki wakidai kuwa Kizz ali...
19
Ziiki yakanusha tuhuma za Diamond
Kampuni ya Usambazaji Muziki ya Ziiki Media imetoa maelezo na kukanusha malalamiko ya mwanamuziki Naseeb Abdul Diamondplatnumz yaliyodai kuwa kampuni hiyo imewazuia kuachia le...
09
Ratiba ya Kanye kuja Afrika imekuwa tofauti
Baada ya kutangaza kurudi tena Africa kwa ajili ya kusikiliza album yake iitwayo ‘Velturels’, uongozi wa mwanamuziki Kanye West umetoa taarifa nyingine ikieleza ku...
04
Tamasha la Jay-Z lapigwa chini tena
Tamasha la mwanamuziki Jay-Z liitwalo ‘Made In America Festival’ ambalo hufanyika kila mwaka mwezi Mei jijini Philadelphia nchini Marekani lapigwa chini kwa miaka ...
26
Diddy bado yupo Marekani
Baada ya vyombo vya habari mbalimbali nchini Marekani kudai kuwa mwanamuziki Diddy amekimbilia katika visiwa vya Caribbean, baada ya kuonekana katika uwanja wa ndege wa Opa-Lo...
28
Aliyetunga wimbo wa Sarafina afariki
Mwanamuziki kutoka nchini Afrika Kusini Mbongeni Ngema, ambaye ndiye muandishi wa wimbo wa ‘Sarafina’ amefariki katika ajali ya gari Jumatano jioni akiwa na umri w...
21
Chama, Kapama wasimamishwa
Uongozi wa ‘klabu’ ya Simba umewasimamisha kazi wachezaji Nassor Kapama na Clatous Chota Chama kutokana na vitendo vya utovu wa nidhamu. Kupitia ukurasa wa Instagr...
21
Kanye ajipanga kujenga mji wake
‘Rapa’ kutoka nchini #Marekani #KanyeWest anatarajia kujenga mji wake Mashariki ya Kati katika eneo lenye ukubwa wa ekari 100,000, ambapo utakuwa mji mkubwa zaidi ...
14
Aliyekuwa meneja wa Facebook akiri kutumia hela za kampuni kula bata
Aliyekuwa Meneja wa programu za Facebook, Barbara Furlow-Smiles, akiri kosa la ulaghai baada ya kuiba zaidi ya dola 4 milioni kuto...
12
Lupita Nyong’o kuongoza Baraza la Majaji
Muigizaji Lupita Nyong’o anatarajiwa kuongoza Baraza la Majaji katika tamasha la Kimataifa la filamu la Berlinale mwezi Februari mwaka 2024. Kupitia ukurasa wa Instagram...
15
Avunja rekodi kwa kutengeneza wigi refu zaidi duniani
Mtengenezaji mawigi kutoka Lagos nchini Nigeria, Helen Williams amevunja rekodi ya dunia ya Guinness kwa kutengeneza 'wigi' refu zaidi duniani kwa kutumia mikono. Kwa mijibu w...
12
Nabeel afariki, Chino ahamishiwa Muhimbili
Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Nabeel ambaye alikuwa dereva kwenye gari lililombeba mwanamuziki na Dancer #ChinoKid pamoja na wenzake, amefariki dunia kufuatia ajali ya ...
07
Mr Ibu akatwa mguu
Muigizaji maarufu kutoka nchini Nigeria, Mr Ibu amekatwa mguu wake mmoja kutokana na ugonjwa unaomsumbua ambapo familia haijaweka wazi maradhi yanayo msumbua muigizaji huyo. K...
07
Mkali wa Black Panther afariki na watoto wake watatu
Muigizaji maarufu kutoka nchini Marekani, Taraja Ramsess amefariki dunia akiwa na watoto wake watatu baada ya gari lake kugonga trekta. Taraja ambaye ameonekana katika movie y...

Latest Post