20
JB atoa sababu za kurudia wahusika kwenye filamu
Licha ya kuwa nchini wameendelea kuibuka waigizaji wengi chipukizi, lakini baadhi ya waandaaji wa filamu wanaonekana kurudia wasanii katika kazi zao, jambo ambalo limekuwa lik...
09
Maarifa ajipanga kuitumia kumbukizi ya kifo cha mama yake kurudi kwa mashabiki
Baada ya ukimya wa takribani mwaka mmoja kwenye muziki, rapa Rashid Rais maarufu Maarifa Big Thinker amefunguka kuja na zawadi kwa...
04
Gara B, Dokta Cheni wanavyobamba na nyimbo za wasanii wakongwe
Ukisikia cha kale dhahabu ndiyo hiki, kwa sasa kwenye sherehe kama vile harusi, 'Send Off' na 'Kitchen Party' siyo ajabu kusikia ngoma za zamani zikipigwa na wageni waalikwa w...
12
Ray C: Roho yangu inasita kurudi Tanzania
Ikiwa ni mwendelezo wa historia ya mwanamuziki mkongwe wa Bongo Fleva nchini, Rehema Chalamila maarufu Ray C kueleza sababu ya kuondoka Tanzania na kuhamia Paris, Ufaransa, sa...
06
Cillian Murphy akubali kurudi kwenye Peaky Blinders
Baada ya mwigizaji kutoka Ireland, Cillian Murphy kukataa ofa kutoka kwa Margot Robbie ya kurudi kwenye filamu ‘Peaky Blinders’ akiigiza kama Tommy Shelby hatimaye...
08
Martinez kurudi tena uwanjani
Mchezaji wa #ManchesterUnited, #LisandroMartinez anatarajiwa kurudi tena uwanjani katika mchezo wa fainali ya kombe la FA utakaochezwa Mei 25, 2024 katika uwanja wa #Wembley n...
08
Thiago kurudisha majeshi Fluminense FC
Mchezaji wa zamani wa ‘klabu’ ya #PSG, #ThiagoSilva ameamua kurudi kwenye ‘ligi’ kuu ya #Brazil baada ya kuthibitisha kuondoka katika klabu ya #Chelsea...
27
De Gea ajiandaa kurudi uwanjani
Kipa wa zamani wa klabu ya Manchester United, David de Gea mwenye umri wa miaka 33, amerejea kwenye uwanja wa mazoezi kujifua upya baada ya kuwa nje ya uwanja kwa mwaka mmoja....
27
Rema kujenga chuo cha muziki
Mkali wa Afrobeat kutoka nchini Nigeria Rema (23) ameripotiwa kuwa na mpango wa kuanzisha na kujenga chuo cha muziki Barani Africa. Chuo hicho ambacho kinadaiwa kugaharimu N20...
08
Mike Tyson kurudi tena ulingoni
Bondia wa ngumi za kulipwa kutoka nchini Marekani Mike Tyson (58) atarajia kurudi tena ulingoni Julai 20 mwaka huu akizichapa na Jake Paul (27), pambano ambalo litafanyika kat...
09
Stoute: Gomez alimtumia Rema, kurudisha umaarufu wake
Mfanyabiashara na CEO wa ‘UnitedMasters’ Steve Stoute kutoka nchini Marekani amedai kuwa mwanamuziki Selena Gomez alimtumia mkali wa Afrobeat Rema kurudisha umaaru...
29
Bata la disko lamponza Rashford
Mchezaji wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, #MarcusRashford  anadaiwa kutozwa faini tsh 2 bilioni  kwa kwenda ‘disko’ siku  ya Jumapili&nb...
23
Baraka The Prince kurudi darasani, Amtaja Diarra wa Yanga
Ukifanya kazi nzuri inavuta wengine kujifunza je, unataka kuamini hilo, hiki ndicho alichokisema msanii wa #Bongofleva, Baraka the Prince, kuhusu kipa wa Yanga, #DjiguiDiarra ...
16
Baba yake Drake aruhusiwa kurudi Canada
Baba wa mwanamuziki kutoka nchini Marekani #Drake, #DennisGraham,ameruhusiwa kurudi nchini Canada baada ya kumaliza adhabu yake. Kupitia #Instastory ya ‘rapa’ huyo...

Latest Post