04
Waliokuwa wakifuga paka 159 waswekwa jela
Wanandoa kutoka nchini Ufaransa ambao hawajawekwa wazi majina yao wamehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela na faini ya tsh 425 milioni baada ya kuwafanyia ukatili wanyama kwa...
04
Aliyepandikizwa figo ya nguruwe aruhusiwa
Mwanaume wa kwanza kupandikizwa figo ya nguruwe nchini Marekani aitwaye Richard Slayman (62) ameruhusiwa kutoka hospitali, baada ya kufanyiwa upasuaji wiki mbili zilizopita ka...
04
Cassie azidi kumkaanga Diddy
Aliyekuwa mpenzi wa mwanamuziki wa Hip-hop Diddy, Cassie ameripotiwa kushirikiana na vyombo vya dola katika uchunguzi wa kesi ya biashara ya ngono inayomkabili Combs. Kwa muji...
04
Tamasha la Jay-Z lapigwa chini tena
Tamasha la mwanamuziki Jay-Z liitwalo ‘Made In America Festival’ ambalo hufanyika kila mwaka mwezi Mei jijini Philadelphia nchini Marekani lapigwa chini kwa miaka ...
04
Ozil aingia Gym baada ya kustaafu soka
Baada ya kustaafu ‘soka’ mwaka jana mchezaji #MesutOzil aliyekuwa akikipiga katika ‘timu’ ya taifa ya #Ujerumani na vilabu kama #RealMadrid na #Arsenal...
04
Beki wa kaizer Cheifs auawa kwa kupigwa risasi
Beki wa Kaizer Cheifs mwenye miaka 24, Luke Fleurs ambaye alijiunga na ‘timu’ hiyo akitokea SuperSport United Oktoba mwaka jana, amepigwa risasi na kuuawa wakati w...
04
Tyson haogopi kuzichapa na Jake
Bondia wa ngumi za kulipwa Mike Tyson ambaye anatarajia kuzichapa mwezi Julai mwaka huu na bondia chipukizi Jake Paul, amefunguka kuhusu hofu yake na jinsi anavyoweza kukabili...
04
Dj Stivie j aendelea kumkingia kifua Diddy
Baada ya nyaraka za kesi zilizofunguliwa na mtayarishaji Rodney Jones dhidi ya Diddy zikidai kuwa Party zinazofanyika nyumbani kwa Combs zimekuwa zikijikita katika biashara ya...
04
Aliyekuwa akishikiria rekodi ya kuwa mzee zaidi afariki dunia
Mwanaume mmoja aitwaye Juan Vicente Perez Mora, kutoka nchini Venezuela ambaye pia alikuwa akishirikiria rekodi ya kuwa mwanamume mzee zaidi duniani amefariki dunia akiwa na m...
03
Kufa kufaana, 50 Cent kuibeba mikoba ya Diddy
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani 50 Cent anatarajia kurithi mikoba ya Diddy baada ya kampuni ya vinywaji ya ‘Vodka Ciroc’ kumfuta ubarozi Combs. Kwa mujib...
03
Tyson atarajia kupata mtoto wa nane
Bondia maarufu kutoka nchini Uingereza #TysonFury, ameweka wazi kuwa anatarajia kupata mtoto wa nane na mkewe #ParisFury. Fury ameweka wazi suala hilo kupitia ukurasa wake wa ...
03
Miss Universe yakanusha uwepo wa miss Saudia
Wakati Miss Saudi Arabia mwaka 2021, Rumy Alqahtani akitangaza kushiriki katika mashindano ya urembo ya dunia ya Miss Universe, waandaaji hao wamekanusha kuwepo kwa mwanamitin...
03
Taylor aingia kwenye orodha ya mabilionea
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani #TaylorSwift ameibuka kuwa miongoni mwa matajiri wakubwa duniani.Kwa mujibu #Forbes imeripotiwa kuwa mwanamuziki huyo kwa sasa anamiliki uta...
03
Mke wa Obama aikubali albamu ya Beyonce
Baada ya albamu ya mwanamuziki Beyonce iitwayo ‘Cowboy Carter’ kutajwa na mashabiki kuwa ndiyo albamu bora ya mwaka 2024, sasa imemfikia mke wa aliyekuwa Rais wa M...

Latest Post