27
Jinsi ya kuongeza thamani yako ukiwa chuoni
Na Michael Onesha Mtu wa kwanza kutambua na kuamini kuwa wewe ni wa thamani kubwa ni wewe mwenyewe. Rule namba moja ukiwa kama kijana wakike au wa kiume unatakiwa kujiona wa t...
11
Aliyempulizia mtoto moshi wa shisha atafutwa
Baada ya kusambaa kwa video kupitia mitandao ya kijamii zikimuonesha mwanamke akimpulizia mtoto mchanga moshi wa shisha. Mamlaka jijini Lagos nchini Nigeria zimeanza msako mka...
27
Sikukuu bila pilau inawezekana, Pika hivi kufurahisha uwapendao
Kama ilivyo kawaida yetu @Mwananchiscoop hatulazi damu, wiki hii katika biashara tunakusogezea mada ambayo haina mambo mengi kabisa kuhusiana na vyakula simple unavyotakiwa ku...
14
Mbosso: tungefanya sisi tungeambiwa tumeiga
Msanii wa muziki nchini Mbosso Khan ambaye anatamba na kibao chake cha ‘Sele’, ame-post video ikionesha wanaume wenye asili ya kiarabu wakiimba wimbo unaendana na ...
04
Kanye na Mkewe wakatiza peku mtaani
Imekuwa kawaida kwa msanii kutoka nchini Marekani, Kanye West kukatiza mitaani akiwa katika muonekano ambao huwaacha wengi vinywa wazi, siku sio nyingi alionekana kukatiza kat...
23
Marioo: napata upendo mkubwa kutoka kwa mama mkwe
Akiwa katika sherehe ya birthday ya mama mkwe wake #KajalaMasanja mwanamuziki #Marioo alishindwa kuvumilia kutompa shukurani #Kajala kwa kumpatia upendo kama mtoto wake. Akizu...
28
Obasanjo aitaka tume ya uchaguzi kuepusha hatari ya machafuko
Rais wa zamani nchini Nigeria Olusegun Obasanjo ametoa kauli hiyo kufuatia malalamiko yanayoendelea kuhusu kutokuwepo uwazi kwenye Matokeo ya Kura zilizopigwa ikiwa ni pa...
28
Tume ya uchaguzi yatuhumiwa kutokuwa na uwazi katika matokeo
Vyama vya Upinzani vya PDP na Labor Party Nchini Nigeria vimesusia mchakato wa Utangazaji Matokeo kwa madai kuwa Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) imeonesha kuwepo kwa uchakachuaji...
10
Ahmed Ally: Tumeisaidia Serikali kutangaza vivutio
Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa Anaandika wa Ahmed Ally             ameandika ujumbe huu hapa bwana ''Bo...
22
ZUCHU: Msanii akiolewa au kujifungua tumempoteza kwenye game
Na Habiba Mohamed Waswahili walisema mshika mawili Moja humponyoka..Ebwaaana kunako mitandao ya kijamii hivi karibuni zilitembea sana picha na video za harusi za mastaa wawili...
01
Ahmed Ally: Tumeamua kuruka kivyetu
Semaji kama semaji bwana baaada ya kukabidhiwa mkataba mnono wa billion 26 na chench zake, hakutaka siku iishe hivi hivi bila ya kusema chochote akaamua kufunguka  na kus...
15
TUMEFIKIWA, tozo kwa vijana miaka 18 na kuendelea!
Eeeh bwana eeh! Tumefikiwa na sisi!!! Kama mnavyojua, jana Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amesema Serikali inakusudia kutoa namba ya utambulisho wa mlipakodi (...

Latest Post