27
Ukikubali kuoa/kuolewa unalipwa zaidi ya Sh 102 Milioni
Ukiwa ni muendelezo wa kukabiliana na kiwango cha chini cha uzazi nchini Korea Kusini, Wilaya ya Saha, Busan inampango wa kuwalipa wakazi wa eneo hilo watakao kubali kuchumbia...
25
Shakira hataki kuolewa tena
Mwanamuziki kutoka nchini Colombia #Shakira baada ya kuachana na aliyekuwa mpenzi wake wa muda mrefu #GeralgPique amedai kuwa hatojihusisha na mahusiano wala kuolewa tena. Msa...
24
Mwanamke wa kwanza kuolewa na AI
Mwanamke mmoja kutoka Uholanzi aitwaye Alicia Framis anampanga wa kufunga ndoa na roboti ‘Hologramu ya AI,’ aitwaye AILex ili kuona utofauti kati ya mahusiano ya A...
02
Rushaynah hana mpango wa kuolewa kwa sasa
Aliyekuwa mke wa Haji Manara, Rushaynah ameeleza kuwa kwa sasa hayupo tayari kuolewa na mwanaume yeyote yule. Rushaynah ameyaeleza hayo baada ya shabiki kumtakia kheri kwenye ...
19
Wakwe wamkataa Kanye West
‘Rapa’ kutoka nchini #Marekani, #KanyeWest anadaiwa kutengana na mkewe #BiancaCensori baada ya familia ya Bianca kuomba mrembo huyo aachane na Kanye kutokana na ta...
10
Yemi awasihi mabinti kuolewa na watu sahihi
Mwanamuziki kutoka nchini #Nigeria #YemiAlade amewashauri wanawake wasio na waume kuhakikisha wanafunga ndoa na wenzi sahihi na kuachana na mashinikizo kutoka kwa familia au m...
01
Gigy: Mama yangu anatamani niolewe
Mwanamuziki #GigyMoney anadai kuwa yeye mama yake anatamani aolewe na mwanaume yeyote haijalishi anafanya kazi gani. Ameyasema hayo mbele ya vyombo vya habari Gigy anasema mam...
27
Raya: Sijaja kwenye maisha ya Barnaba kwa bahati mbaya
Raya ambaye ni mke wa mwanamuziki Barnaba Classic kupitia mahojiano yake na moja ya chombo cha habari amefunguka na kueleza kuwa hakuingia kwenye maisha ya barnaba kwa kukurup...
21
Apigwa na watoto wake baada ya kuolewa na mwanaume mwingine
Mama mmoja kutoka nchini Kenya amepigwa na watoto wake waliopandwa na hasira walipoona amemuacha baba yao na kwenda kuolewa na mwanaume mwingine. Kwa mujibu wa tovuti ya Tuko...
09
Amshtaki baba yake kwa kumlazimisha kuolewa na mwanaume asiyemjua
Binti mmoja aliefahamika kwa jina la Fatima Aliyu mwenye umri wa miaka 20 kutoka Kaskazini mwa Nigeria amemshtaki baba yake kwa kumlazimisha kuolewa na mtu asiyemfahamu, ripot...
27
Serikali yapandisha umri wa kuoa na kuolewa miaka 18
Taarifa kutoka uingereza ambapo kupitia Sheria mpya iliyoanza kutumika Nchini humo na Wales ambako awali Watu walikuwa wakioana wakiwa na Miaka 16 au 17 ikiwa watapata kibali ...
07
Ukioa ama kuolewa, acha kuwa mwanasiasa!
WANANDOA wengi wameshindwa kuishi  maisha ya ndoa hivyo wengi wao wamekua wanaharakati zaidi katika ndoa kuliko kuwa walezi wa ndoa zao hali ambayo imesababisha migogoro ...
26
Hofu ya kuzeeka Wasichana Kuolewa na yeyote
Hivi sasa watafiti wengi wameonyesha kukubaliana na jambo hilo. Wanasema kwamba, wasichana wengi hubabaika na kufanya mambo yenye kuwaumiza kutokana na hofu kwamba, muda unakw...
08
Kutooa au kutoolewa ni kaburi la mapema
Hivi sasa imethibitika kwamba, watu wasiooa au kuolewa, wanaishi kwa umri mdogo zaidi ukilinganisha na wale ambao wameoa au kuolewa. Taarifa hizi siyo hadithi bali ni ukweli a...

Latest Post