24
Justin Bieber sasa ni baba
Baada ya kutangaza kutarajia kupata mtoto miezi michache iliyopita, hatimaye mwanamuziki Justin Bieber na mke wake Hailey wamepata mtoto wao wa kwanza aitwaye Jack Blues Biebe...
10
Blueface ahukumiwa kifungo cha miaka minne jela
‘Rapa’ Blueface ahukumiwa kifungo cha miaka minne jela, baada ya kukutwa na hatia ya kumpiga mlinzi wa hoteli mwaka 2012 huko North Hollywood.TMZ iliripoti kuwa me...
27
Mshukiwa wa mauaji ya Tupac aomba kuachiwa huru
Mshukiwa wa mauaji ya ‘rapa’ kutoka Marekani Tupac Shakur, Duane “Keefe D” Davis, amewasilisha ombi la kuachiwa huru kutokana na kusumbuliwa na ugonjwa...
05
Mr Blue atangaza kufungua studio
Baada ya kutoa taarifa kuwa anakuja na ngoma mfululizo kupitia ukurasa wake wa Instagram na sasa ‘rapa’ Mr Blue ametangaza kufungua studio yake ya muziki iliyoipa ...
04
Mr Blue: Muda wa kuwaletea kazi
Mwanamuziki wa Hip-hop nchini Mr Blue ameweka wazi kuwa umefika muda wa kuachia kazi mfululizo kwa mashabiki wake, huku akiwataka wachague aina gani muziki aanze nao kati ya h...
30
Mtoto wa Beyonce kusikika kwenye animation ya The lion King
Mtoto wa mwanamuziki kutoka nchini Marekani Beyonce, Blue Ivy (11) ameripotiwa kuwa sauti yake itatumiaka kwa mara ya kwanza katika filamu (animation) ya ‘Mufasa: The Li...
07
Mr Blue: Marafiki waliniharibu
Mwanamuziki Mr Blue ameweka wazi kuhusiana na safari yake ya muziki ambapo amedai kuwa yeye aliharibiwa na watu (marafiki) ambao walikuja baada ya yeye kuwa ‘staa;.Mr Bl...
02
Infantino: hakutakuwa na kadi ya blue
Rais wa shirikisho la ‘soka’ Duniani (FIFA) Gianni Infantino ameweka wazi kuwa hakutakuwa na ‘kadi’ ya bluu katika mpira wa miguu.Infantino ameyasema h...
12
Konde faida zaidi ya hasara
Konde Boy anaonekana ana ‘bato’ na Diamond inamsaidia Konde Boy kuliko Diamondi. Kumbuka DMX na Jah Rule ‘bato’ lao lilimsaidia zaidi Jah Rule na kumtu...
02
Diamond aandaa zawadi kwa mashabiki
Baada ya kuachia ngoma ambayo inafanya vizuri kwenye mitandao ya kijamii hususani #YouTube, mwanamuziki Diamond ameonesha mzigo wa mavazi wenye jina la wimbo wake wa ‘Ma...
29
Chrisean achora tattoo ya Ex wake usoni
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani #ChriseanRock amechora usoni tattoo yenye sura ya ex wake na mzazi mwenziye #Blueface ambaye kwa sasa anatumikia kifungo gerezani, ka...
26
Mondi, Blue, Jay Melody wagusa hisia za Tale
Diamond, Mr Blue na Jay Melody wamkosha Babu Tale kwenye wimbo wao mpya uitwao 'Mapozi' uliachiwa saa kumi zilizopita. Kupitia post ya Diamond kwenye mtandao wa Instagram amba...
25
Mondi na Blue wanajambo lao
Mwanamuziki wa hip-hop Mr Blue na nyota wa muziki Diamondplatnumz wanatarajia kuachia jiwe jipya leo Januari 25.Kupitia ukurasa wa Instagram wa Mondi ameweka wazi ujio wa jamb...
11
Cardi B athibitisha kutemana na Offset
Muda machache umepita tangu mume wa ‘rapa’ kutoka nchini Marekani Cardi B, Offset kudaiwa kutoka kimapenzi na Chrisean Rock ambaye ni mama watoto wa mwanamuziki Bl...

Latest Post