Ebanaa wee!! vitabu vya dini vinasema wanaweke ishini nao kwa akili msemo huu una thibiti kwa mke wa Ashraf Hakimi mchezaji wa klabu ya PSG, aliefahamika kwaji...
Mtngazaji wa kipindi cha The howard stern kinacho rushwa na sirius XM Nick Cannon ambaye ana watoto mapacha aliozaa na Mariah Carey huku wengine wakiwa na mama tofauti amesema...
Oooooh! Ama kweli ukistaajabu ya mussa utayaona ya firauni, basi bwana hii kitu imezoeleka tuu kuonekana kwa binadamu tu lakini kumbe hadi kwa wanyama, hapa tunazungumzia watu...
Watu wanne ambao ni waumini wa Kanisa la Good News International Church walipatikana Alhamisi wakiwa wamefariki na wengine zaidi ya kumi wamelazwa hospitalini kati...
Mwanaume mmoja kutoka Texas aliefahamika kwa jina la Larry Pearson mwenye umri wa miaka 36 amehukumiwa kifungo cha miaka 70 jela kwa kosa la unyanyasaji la mwaka 2022.
Mtuhumi...
Zimepita siku nne tuu tangu Taasisi ya dini ya Kiislamu ya Al- Hikma kutangaza nia ya kuwalipia mahari vijana 50 ambao wapo tayari kuoa inaelezwa kuwa zaidi ya watu...
Sasa mambo hadharani!!! Yapata siku kadhaa zimepita tangu msanii Harmonize atuonyeshe kwenye mitandao ya kijamii kuwa yuko Zanzibar kwa ajili ya kushoot video za baadhi ya nyi...
Eeeeeh! Mwenzangu wewe unalala kwenye godoro la aina gani, au basi acha tuu, basi bwana unaambiwa mmiliki wa mtandao wa Twitter Elon Musk ambae ni tajiri mkubwa duniani akiwa ...
Rais kutoka nchini Malawi Lazarus Chakwera ametangaza idadi ya watu waliofariki kutokana na kimbunga freddy nchini humo, kuwa imeongezeka na kufikia idadi ya watu 1,000 h...
Rapa kutoka nchini Mexico Daniel Hernandez maarufu kama 6ix9ine siku za hivi za karibuni alitangaza kuwa anatarajia kuja Afrika ku-shoot video ya ngoma yake ya wapae.
Watu wal...
Na Asha CharlesWizara ya elimu, Sayansi na Teknolojia imetoa idhini ya kurudia mtihani kwa wanafunzi 337 waliofutiwa matokeo yao ya kidato cha nne kwa mwaka 2022 baada y...
Viatu vya mchezaji maarufu wa kikapu Michael Jordan, Air Jordan XIIIs vilivyovaliwa katika fainali za NBA mwaka 1998 vimeuzwa kwa dola milioni 2.2
Pea moja ya viatu vya ...
Na Asha Charles
Hahahah! Make hapa kwanza ncheke, ama kweli hali ngumu basi bwana unaambiwa bibi aliejuliakana kwa jina la Bonnie Gooch mwenye umri wa miaka 78, ameshtakiwa kw...