06
Wasanii wa Bongo wapata madini kutoka kwa mwigizaji Son Ye-jin
Waigizaji wa filamu Tanzania ambao wapo kwenye ziara nchini Korea kwa ajili ya kujifunza masuala ya filamu mapema siku ya leo walikutana na staa wa filamu Korea, Son Ye-jin na...
05
Tanzania yachaguliwa kufanya filamu na South Korea
Tanzania imechaguliwa kuwa nchi ya kwanza Africa kufanya filamu na South Korea kwa ajili ya kuunganisha soko la filamu la Tanzania na Korea.Hayo yameelezwa kupitia ukurasa wa ...
04
Wema sepetu: Filamu za tanzania hazitakuwa kama zamani tena
Baada ya mwigizaji mkongwe na aliyewahi kuwa Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu kufika nchini Korea kwa ajili ya ziara ya mafunzo kuhusiana na mswala mazima ya tasnia ya ui...
20
Bongo Movie ilivyowapa kisogo mamisi
Tangu kuanzishwa kwa mashindano ya kusaka warembo,  Miss Tanzania mwaka 1967 tayari imepita miaka 57,  huku taji hilo likiwa limevaliwa na warembo 30 hadi kufikia mw...
26
Wolper, Batuli, Wema, Wamlilia aliyekuwa mpiga picha wa Millard Ayo
Mpiga picha na mwandishi wa habari wa #Millardayo Noel Mwingila maarufu kama Zuchy amefariki dunia leo Alfajiri baada ya kupata aj...
27
Mastaa na mitupio ya mavazi mwaka 2023
Leo katika Fashion tumekusogezea  baadhi ya wasanii waliotokelezea katika upande wa mavazi na wale ambao waliwashangaza watu kwa mitindo ya mavazi yaani walitoa booko hah...
07
Wema Sepetu: Kufa sifi lakini chamoto nakiona
Kupitia ukurasa rasmi wa Snapchat, wa The Tanzanian Sweetheart Wema Sepetu ame-share ujumbe ambao umewashitua mashabiki wengi na kuwafanya waulizane kipi kimemkuta mrembo huyo...
04
Wema, Halima Kopwe, Shilole kwa Jokate
Baadhi ya ‘mastaa’ wa kike wajitokeza kumpongeza aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Korogwe Jokate Mwegelo baada ya kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake (UWT), am...
30
Wema: Sitofanya party tena, ningekaa kimya ningekufa
Muigizaji Wema Sepetu ameyatoa ya moyoni baada ya kile kilichotokea kwenye birthday party yake, na kueleza kuwa hatokuja kufanya tena sherehe maisha yake yote.Wema ameyasema h...
29
Mwijaku: Whozu tafuta pesa uheshimiwe ukweni
Muigizaji na mwandishi wa habari Mwijaku ametoa ushauri kwa mwanamuziki Whozu kuwa atafute pesa ili aweze kuheshimiwa ukweni,Hii inakuja baada ya kilichotokea usiku wa kuamkia...
28
Whozu: Nikifariki msisaha kuniongelea kama nilipendwa sana
Mwanamuziki wa #BongoFleva #Whozu ameweka hisia zake hadharani kwamba anapendwa sana na mpenzi wake #WemaSepetu amesema endapo akifariki katika wosia wake watu wasisahau kumuo...
18
Asha Baraka amtaka Wema Sepetu aolewe
Mkurugenzi wa Twanga pepeta, Asha Baraka amevunja ukimya kwa The Tanzanian Sweetheart, Wema Sepetu kuhusiana na suala la mrembo huyo kuwa na mahusinao mapya kila siku. Kupitia...
13
Ukweli kuhusu ujauzito wa Wema Sepetu
Tanzanian Sweetheart, Wema Sepetu amejikuta akishindwa kuzuia hisia  baada ya picha na video zake, kusambaa katika mitandao ya kijamii zikimuonesha akiwa na ujauzito. Wem...
12
Wema Sepetu ataja kilichomuingiza mkenge hadi kufilisika
Duh! Embu tukae chini na tusikitike kidogo, nyie nyie kumbe watu wana stori nzito kama hizi ni vile tu hatujakaa nao vizuri. Basi bwana kama kawaida yetu kila siku tunakusogez...

Latest Post