03
Ray C awagawa wasanii chipukizi Bongo
Ikiwa imepita siku moja tangu mwanamuziki wa zamani wa Bongo Fleva ambaye kwa sasa anaishi jijini Paris, Ufaransa Rehema Chalamila ‘Ray C’ kuwataka wasanii wenye u...
27
Megan athibitisha ujio wa album yake mpya
Rapper kutoka Marekani #MeganTheeStallion ametangaza ujio wa album yake mpya iitwayo ‘Megani’ inayotarajiwa kutoa siku ya kesho Ijumaa June 28, 2024. Megan amethib...
19
Jason Momoa athibitisha kutoka kimapenzi na Adria Arjona
Baada ya kuzuka tetesi kuhusiana na Mwigizaji wa Marekani Jason Momoa na Adria Arjona wanatoka kimapenzi, hatimaye Momoa amethibitisha tetesi hizo. Momoa amethibitisha kutoka ...
07
Babu Tale aamka na Jaymelody
Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki na Meneja wa msanii Diamond, Babu Tale kama ilivyo kawaida yake kutoa maua kwa wasanii mbalimbali nchini leo ameamka na mwanamuziki #Jaymel...
28
Vanessa akanusha kuwa na ujauzito
Baada ya kushare video kupitia ukurasa wake wa Instagram na kuzua gumzo kupitia mitandao ya kijamii kiwa ni mjamzito mwanamuziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee amekanusha taarif...
26
Harmonize ahamia kwenye ndondi
Mwanamuziki kwa wa Bongo Fleva nchini Harmonize amedai kuwa anataka kuionesha jamii kipaji chake kingine katika upande wa upiganaji (Ndondi). Kupitia ukurasa wake wa Instagram...
15
Usher aposti picha za harusi yake
Baada ya mwanamuziki kutoka nchini Marekani Usher kudaiwa kufunga ndoa, hatimaye mwanamuziki huyo amelithibitisha hilo kwa ku-posti picha zake za harusi akiwa na mkewe Jennife...
08
Usher ataka Kolabo na Nandy
Baada ya kufanya ‘kolabo’ ya ngoma yake inayotrend kupitia mitandao ya kijamii ya ‘Dah’ na Alikiba mwanamuziki Nandy ameweka wazi kuwa msanii kutoka nc...
10
Enjoy ya Jux yamkosha Lupita
Ngoma ya Jux aliyomshirikisha Diamond Platnumz yaingia kwenye listi ya muigizaji kutoka nchini Kenya Lupita Nyong’o ukiwa ni wimbo namba saba kati ya kumi alizo ziorodhe...
08
The Weekend na ujio wa albamu mpya
Mwanamuziki kutoka nchini #Canada #TheWeeknd atangaza kutoa albumu yake mpya hivi karibuni ingawa bado hajaweka wazi jina la albumu hiyo.    The Weeknd amethibi...
07
Q chief ataka kuweka mambo sawa na TID
Mwanamuziki wa #BongoFleva #Qchief ameweka wazi kuwa mwaka huu hataki tena kuwa na tofauti na msanii mwenzake #TID. Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuwa wamekuwa h...
02
Makabila awatolea povu wanaooa mke zaidi ya mmoja
Mwanamuziki wa singeli nchini Dulla Makabila awatolea povu wanaume wanaooa wake wengi kwa kigezo cha kukimbilia dini. Makabila kupitia ukurasa wake wa Instagram ame-share ujum...
02
Vanessa aelezea hali ya Mimimars
Kutokana na taarifa zinazoendelea kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na hali ya kiafya ya msanii #MimiMars, baada ya kudaiwa kupata ajali, Vanessa Mdee ambaye ni dada yake a...
28
Movie zilizomkosha Obama 2023
Kama ilivyo kawaida kwa watu maarufu, mwisho wa mwaka kuachia list ya ngoma, vitabu na filamu zilizowakosha kwa mwaka huo, aliyekuwa Rais wa Marekani Barack Obama ameachia mke...

Latest Post