05
Filamu ya Tiwa kuanza kuonekana mei 10
Mkali wa afrobeat kutoka nchini Nigeria Tiwa Savage ametangaza kuwa filamu yake ya ‘Water and Garri’ itaachiwa rasmi Mei 10 mwaka huu, itaruka kwa mara ya kwanza k...
28
Mapya yaibuka kesi ya Diddy
Wakati msako wa kumsaka ‘rapa’ Diddy ukiendele nchini Marekani mapya yaibuka ambapo imeripotiwa kuwa ‘rapa’ Yung Miami alihusika  kumbebea Diddy d...
26
Diddy bado yupo Marekani
Baada ya vyombo vya habari mbalimbali nchini Marekani kudai kuwa mwanamuziki Diddy amekimbilia katika visiwa vya Caribbean, baada ya kuonekana katika uwanja wa ndege wa Opa-Lo...
22
Murphy kuonekana kwenye Peaky Blinders
Baada ya kuondoka na tuzo ya Oscar 2024, kama Mwigizaji Bora wa Kiume, Cilian Murphy ameripotiwa kuonekana katika muendelezo wa filamu ya ‘Peaky Blinders’.Taarifa ...
22
Weka nguvu kwenye thamani yako
Umewahi kujiuliza kwa nini kuna watu wanaonekana wana thamani kubwa dhidi ya wengine, wanaweza wakawa wanafanya kazi pamoja, elimu sawa na wala hawajazidiana kiuchumi, lakini ...
31
Nyota wa The full monty afariki
Aliyekuwa muigizaji kutoka nchini Uingereza Tom Wilkinson amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 75. Taarifa ya kifo chake imetolewa na familia yake ikieleza kuwa nyota huyo w...
30
Naira Marley na Sam wapambana kurudisha heshima yao
Mwanamuziki kutoka nchini #Nigeria #NairaMarley, na promota #SamLarry baada ya jana kuonekana kwa mara ya kwanza tangu kuachiwa kwao, waawili hao waliamua kutoa sadaka kwa wat...
29
Baraka: Nimechoka kuonekana mbaya, Nafanyiwa figisu
Msanii wa bongo fleva Barakah The Prince ameendelea kuuwasha moto kupitia mitandaa ya kijamii na leo amedai kuwa ataweka wazi figisu zote alizowahi kufanyiwa toka mwaka 2016. ...
01
Nyota wa General Hospital afariki dunia
Muigizaji kutoka nchini Marekani mwenye umri wa miaka 50 Tyler Christopher amefariki dunia kwa mshituko wa moyo nyumbani kwake San Diego siku ya jana Jumanne. Inaelezwa kuwa n...
30
Ahmed Ally amuita Gamondi mazoezini
Msemaji wa ‘klabu’ ya #Simba, #AhmedAlly ametupa jiwe gizani baada ya kushusha ujumbe ambao baadhi ya mashabiki wametafsiri kuwa huwenda dongo hilo likawa linamlen...
26
De Gea kuonekana tena Man United
‘Klabu’ ya #ManchesterUnited, inadaiwa kuwa na mpango wa kumrejesha ‘goli kipa’ David de Gea katika kikosi chao, ikiwa ni miezi sita tangu aondoke kati...
11
Wimbo wa Tyla waiinua S.Africa Billboard Hot 100
Wimbo maarufu wa Water wa mwimbaji kutoka South Afrika, Tyla umeanza kuonekana kwenye Billboard Hot 100, baada ya ku-trend kwa wiki kadhaa kupitia mtandao wa TikTok. ‘Wa...
04
Kwa mara ya kwanza video ya mauaji ya Tupac yaoneshwa
Kufuatia tukio ya kukamatwa kwa rafiki wa aliyekuwa mwanamuziki Tupac, hatimaye kwa mara ya kwanza ushahidi wa tukio hilo umeweza kuoneshwa. Picha ambazo hazijawahi kuonekana ...
19
Mbinu za kuonekana stylish ofisini
Eiwaaaah !!!its Friday day bwana kama kawaida karibu kwenye ukurasa wa fashion, sehemu pekee ambayo inakuongoza vyema kabisa kuhusiana na masuala muonekano wako. Nikuweke baya...

Latest Post