13
Hakimi na Ex wake waonekana pamoja
Nyota wa Paris Saint-Germain (PSG) Achraf Hakimi (25) na aliyekuwa mkewe mwigizaji Hiba Abouk (37), wameripotiwa kuonekana pamoja kwa mara ya kwanza baada ya kupeana talaka mw...
26
Elon Musk ahudhuria harusi ya Ex wake
Mmiliki wa mtandao wa X (zamani Twitter) na mfanyabiashara Elon Musk ameripotiwa kuwa na maelewano mazuri na aliyekuwa mke wake Talulah Riley hii ni baada ya kuonekana kwenye ...
10
Tyrese kuburuzwa mahakamani na Ex wake
Mke wa zamani wa mwigizaji Tyrese Gibson, Norma Mitchell amemshitaki Ex wake huyo baada ya kudai kuwa Tyrese alimchafua kwa kuposti habari binafsi kuhusu yeye pamoja na binti ...
08
50 Cent amshitaki Ex wake kwa kumchafulia CV
‘Rapa’ kutoka Marekani 50 Cent amemshitaki mpenzi wake wa zamani aitwaye Daphne Joy kwa kumshutumu hadharani kuwa aliwahi kumfanyia unyanyasaji wa kimwili. Kwa muj...
29
Chrisean achora tattoo ya Ex wake usoni
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani #ChriseanRock amechora usoni tattoo yenye sura ya ex wake na mzazi mwenziye #Blueface ambaye kwa sasa anatumikia kifungo gerezani, ka...
29
Muandaaji maudhui youtube auawa, mwili wakutwa kwa ex wake
Muandaaji wa content kupitia mtandao wa YouTube aitwaye Paulo Cezar Goulart Siqueira (PC) kutoka nchini Brazil anadaiwa kuuawa kisha mwili wake kukutwa kwa mpenzi wake wa zama...
16
Burna Boy amzawadia ex wake gari
Mkali wa afrobeat kutoka nchini Nigeria Burna Boy amnunulia gari aina ya Rolls Royce Cullinan aliyekuwa mpenzi wake ‘rapa’ Steff London.Burna alimzawadia gari Ex w...
28
Amteka mtoto wa ex wake, akitaka hela
Mwanaume mmoja kutoka nchini Marekani, Richard White, mwenye umri wa miaka 36 anashikiliwa na polisi kwa madai ya kumteka nyara mtoto wa ex wake mwenye umri wa miaka mitano, m...
26
Jonatha amshitaki Ex wake
Muigizaji kutoka nchini Marekani #JonathanMajors amemshitaki mpenzi wake wa zamani #GraceJabbari kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi maeneo ya usoni na sikioni.Major aliwasilisha...
20
Marta amkumbuka Ex wake
Mpenzi wa zamani wa mchezaji wa #ManchesterUnited, #SergioReguilon, Marta Diaz amedai kuwa hato msahau ex wake huyo kwa kuwa alikuwa ni nguzo muhimu katika maisha yake. Kwa mu...
10
Ne-Yo aiomba mahakama Ex wake kutozungumzia kesi yao
Baada ya kutangazwa kuwa baba halali wa watoto wawili ambao ni Braiden na Brixton, msanii Ne-Yo ameripotiwa kuiomba mahakama isimruhusu ex wake Sade Bagnerise kuzungumza hadha...
05
Zoleka aliandika orodha ya watu asiotaka wafike kwenye msiba wake, Ex wake yumo
Inadaiwa kuwa mjukuu wa Nelson Mandela, Zoleka aliyefariki wiki iliyopita kwa ugonjwa wa ‘kansa’  aliacha wosia a...
04
Elon Musk afunguliwa ashitaka na Ex wake
Bilionea Elon Musk, amefunguliwa mashitaka na ex wake Grimes, ambaye alizaa naye watoto watatu,  juu ya haki ya malezi ya watoto wao.  Grimes amefungua mashitaka hay...
18
Antony afutiwa mashitaka ya unyanyasaji na Ex wake
Mchezaji wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, Antony Dos Santos aliyefunguliwa mashtaka na wanawake watatu kuhusu unyanyasaji na kuwashambulia, inadaiwa mmoja kati ya ...

Latest Post