17
Diddy akalia kuti kavu, polisi wamdaka
Mkali wa Hip Hop kutoka Marekani Diddy ameripotiwa kukamatwa na polisi New York kufuatia tuhuma za kujihusisha na unyanyasaji wa ngono na biashara za madawa ya kulevya.Kwa muj...
06
Wanasayansi waunda Nzi kwa kutumia kinyesi cha Binadamu
Timu ya wanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha Macquarie cha Australia wameanza harakati kukabiliana na janga la taka duniani ambapo wameamua kuunda Nzi kwa kutumia kinyesi mwenye ...
27
Megan athibitisha ujio wa album yake mpya
Rapper kutoka Marekani #MeganTheeStallion ametangaza ujio wa album yake mpya iitwayo ‘Megani’ inayotarajiwa kutoa siku ya kesho Ijumaa June 28, 2024. Megan amethib...
23
Terry Joyce afariki dunia
Aliyekuwa mwigizaji wa vichekesho kutoka nchini Marekani Terry Joyce ambaye amewahi kuonekana katika kipindi cha Byker Grove na BBC Hebburn amefariki dunia. Kwa mujibu wa tovu...
21
Kylie Jenner alia na wanaonanga mwonekano wake
Mfanyabiashara kutoka Marekani Kylie Jenner aangua kilio kutokana na mashabiki kuunanga mwonekano wake wa sasa baada ya kufanya surgery.Kylie ameeleza maumivu anayoyapitia kat...
20
Sura ya Rihanna kutumika kwenye manukato ya ‘Dior’
Mwanamuziki kutoka visiwa vya Barbados, #Rihanna amepata shavu katika kampuni ya ‘Christian Dior’ inayojihusisha na masuala ya utengeneza nguo na urembo kwa kuteng...
18
Mbappe avunjika pua, Hatarini kukosa mechi zilizosalia
Staa wa Ufaransa na Real Madrid, Kylian Mbappe anaweza kukosa ‘mechi’ zilizosalia za michuano ya Euro 2024, baada ya kufanyiwa upasuaji wa pua utakaomweka nje kwa ...
17
Ronaldinho: Sitaangalia mechi yeyote Brazil
Mwanasoka wa zamani Ronaldinho amedai kuwa hataishangilia wala kuangalia mechi yeyote ya Brazil kwenye fainali za Copa America kwa sababu amechoshwa na kipindi cha huzuni. Aki...
16
Sababu ya kifo cha Darius Morris yatajwa
Mchezaji  NBA Darius Morris anatajwa kufariki kwa ugonjwa wa moyo, huku matumizi ya dawa za kulevya na pombe yakitajwa kama chanzo, mchunguzi wa afya wa Kaunti ya Los Ang...
10
Jinsi ya kupika pilau kwa ajili ya biashara
  Na Aisha Lungato Moja ya biashara ambayo inalipa sana siku hizi na inafanywa na vijana wengi wa kiume nyakati za usiku ni uuzaji wa chakula haswa pilau. Waswahili wanas...
10
Mashemeji wacharuka, Wadai kanye anamchukulia mkewe kama mradi
Baada ya mwanamuziki KanyeWest na mkewe Bianca Censori kutokuwa kwenye maelewano mazuri kwa hivi karibuni, marafiki wa mwanamke huyo wanadai kuwa Kanye anamchukulia mkwewe kam...
27
Mwaisa: waliamini nimepotea kuingia kwenye vichekesho, lakini Mungu ameblesi
Wakati baadhi ya vijana wakisubiri kuajiriwa mchekeshaji Hakika Nyonyoma Mwapongo maarufu kama Mwaisa Mtumbad anasema anaamini kwe...
18
Bilionea aomba picha yake itolewe kwenye jumba la sanaa
Mfanyabiashara wa madini na bilionea nchini Australia, Gina Rinehart, ameliomba jumba la Sanaa la Kitaifa la ‘Canberra’ nchini humo kuondoa picha yake ambayo hajap...
08
Mafundi 163 watumika kutengeneza vazi la Alia Bhatt
Vazi alilovaa mwigizaji kutoka nchini India Alia Bhatt kwenye tamasha la mitindo duniani ‘Met Gala’ lililofanyika siku ya Jumatatu Mei 6 katika ukumbi wa ‘Me...

Latest Post