21
Bondia Ryan Garcia afungiwa mwaka mmoja
Bondia wa ngumi za kuliwa kutoka Marekani Ryan Garcia amefungiwa mwaka mmoja kujihusisha na masuala ya ngumi baada ya kuthibitika kutumia dawa iliyopigwa marufuku kabla na baa...
06
Mwanariadha Kipruto afungiwa miaka sita
Anayeshikiria rekodi ya dunia ya mbio za barabarani za kilomita 10 na mshindi wa medali ya shaba ya Dunia ya mita 10,000 ya mwaka 2019 Rhonex Kipruto kutoka Kenya amepigwa mar...
11
Wachezaji 62 wafungiwa kwa kudanganya umri
Shirikisho la ‘soka’ nchini Cameroon limewafungia wachezaji 62 kujihusisha na michezo baada ya kudanganya umri akiwemo mchezaji wa ‘klabu’ ya Victoria ...
05
Zuchu afungiwa kufanya shughuli za sanaa Zanzibar
Baraza la Sanaa, Sensa, Filamu na Utamaduni la Zanzibar, limemfungia msaanii wa kizazi kipya Zuhura Othman Masoud maarufu Zuchu kuendesha shughuli zote za sanaa visiwani Zanzi...
29
Pogba afungiwa miaka minne
Kiungo wa Juventus, Paul Pogba amefungiwa miaka minne kujihusisha na soka baada ya kukutwa na hatia ya kutumia dawa za kuongeza nguvu.Pogba ambaye amewahi kuwa mchezaji ghali ...
29
Cr7 afungiwa mechi moja
Mchezaji wa ‘timu’ ya Taifa ya Ureno na ‘klabu’ ya #AlNassr kutoka Saudi Arabia, Cristiano Ronaldo amefungiwa ‘mechi’ moja ikiwa kama adhab...
23
Shabiki aliyemuita Kipa nyani afungiwa
Shabiki anayedaiwa kufanya ubaguzi wa rangi kwa ‘golikipa’ wa ‘klabu’ ya #ACMilan, #MikeMaignan amefungiwa kutohudhuria katika viwanja vyote vya soka v...
17
Aucho afungiwa mechi tatu
Nyota wa Yanga, Khalid Aucho aamefungiwa kutocheza michezo mitatu na faini ya Sh500, 000 (laki tano) katika mchezo dhidi ya Coastal Union Novemba 8 katika Uwanja wa Mkwakwani,...
30
Luis afungiwa miaka mitatu
Rais wa zamani wa chama cha ‘Soka’ nchini Uhispania, #LuisRubiales amefungiwa kujihusisha na ‘soka’ kwa miaka mitatu. Mwanzo Rais huyo alisimamishwa ku...
10
Mwakinyo afungiwa kushiriki ngumi
Bondia maarufu nchini Hassani Mwakinyo amefungiwa kupanda ulingoni kwa muda wa mwaka mmoja na faini ya tsh 1 milioni kufuatia utovu wa nidhamu wa kugomea kupanda ulingoni. Mwa...
15
Nay wa Mitego hajafungiwa kufanya show
Baada kuzuka sintofahamu kupitia mitandao ya kijamii kuhusiana na suala la msanii wa hip-hop nchini Nay Wa Mitego kufungiwa kufanya show.Kupitia mahojiano ya na moja ya chombo...
13
Halep afungiwa miaka minne, Kosa utumiaji wa madawa
Mchezaji wa Tennis na bingwa wa zamani wa Wimbledon, Simona Halep amefungiwa kutokujihusisha  na mchezo huo kwa muda wa miaka minne kutokana na matumizi ya dawa za kuonge...
15
Mandonga afungiwa kushiriki ngumi
Baada ya bondia #KareemMandonga kuingia ulingoni mfululizo bila kupata mapumziko ambayo yataweza kumuweka ‘fiti’ kwaajili ya mapambano mengine, bondia huyo hatoshi...
29
Wimbo wa nay amkeni wapigwa stop
Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA), imetoa katazo kwa wimbo wa msanii wa #Hiphop  Nay wa Mitego, 'Amkeni' kupigwa kwenye Vyombo vya Habari na mitandao ya kijami. Kupiti...

Latest Post