25
Ajiziba uso ili aache kuvuta sigara
Kuacha sigara ni mchakato ambao baadhi ya watumiaji wamekuwa wakigonga mwamba kila uchwao, lakini kwa Ibrahim Yücel kutoka Uturuki ilikuwa rahisi baada ya kutengeneza kof...
15
Watatu wajeruhiwa wakati lil Baby akirekodi video
Vijana wa kiume watatu wameripotiwa kujeruhiwa kwa kupigwa risasi katika eneo la Dixie Marekani wakati mwanamuziki Lil Baby akiwa ana-shoot video ya ngoma yake mpya. Kwa mujib...
15
Takribani 14 wafariki kwa kuangukiwa na bango la tangazo
Imeripotiwa kuwa takibani watu 14 wamefariki dunia siku ya jana Jumatatu Mei 13, 2024 baada ya kuangukiwa na bango la matangazo kufuatiwa na mvua iliyonyesha jijini Mumbai nch...
17
Wazazi wa AKA wagoma mtoto wao kuandikwa kitabu
Wakati Melinda Ferguson akijiandaa kuandika kitabu kitakachozungumzia maisha ya mahusiano kati ya AKA na aliyekuwa mpenzi wake Anele, familia ya marehemu AKA, Tony na Lynn For...
11
Aliyesoma taarifa ya habari na mtoto mgongoni apongezwa
Mwanamke mmoja kutoka nchini Congo aitwaye Kapinga Kisamba Clarisse ambaye pia ni mtangazaji wa runinga kwenye moja ya chombo cha habari nchini humo amepongezwa na wadau mbali...
04
Ali Kiba: Ukitaka kolabo na mimi jitafute kwanza
Mwanamuziki wa #BongoFleva #AliKiba amesema kuwa wasanii wanaotaka kufanya kolabo naye wajitafute kwanza hata kama mwanamuziki ambaye yupo chini ya lebo yake. Akizungumza mbel...
23
Watumiaji tovuti za Mwananchi kuchangia fedha kidogo kusoma baadhi ya habari
Mhariri Maudhui Mtandaoni wa wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Zourha Malisa amesema kupitia mabadiliko yanayo...
02
Afariki kwa kula uyoga ulioota nyuma ya nyumba yake
Mwanamume mmoja aliyefahamika kwa jina la William Hickman mwenye umri wa miaka 55 anadaiwa kufariki baada ya kula uyoga wenye sumu uliokuwa umeota nyuma ya nyumba yake katika ...
28
Wanandoa wauza mali zote, Wakaishi kwenye meli
Wanandoa kutoka nchini Marekani wajulikanao kama John Hennessee, na mkewe Melody Hennessee wanadaiwa kuuza mali zao zote kwa ajili ya kwenda kuishi kwenye meli. Kwa mujibu wa ...
20
Mjengo wa Kanye uko sokoni
Ikiwa ni miaka miwili imepita tangu ‘rapa’ Kanye West kutoka nchini Marekani kununua nyumba iliyopo ufukweni jijini Califonia, sasa imeripotiwa kuwa nyumba hiyo ik...
12
Mrembo afariki baada ya upasuaji
Mwanamitandao kutoka nchini #Brazil #LuanaAndrede amefariki dunia muda mchache baada ya kufanyiwa Surgery, tukio hilo lilitokea katika Hospitali ya São Luiz huko S&atil...
01
‘Kocha’ wa Geita Gold kikaangoni
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mji Geita, #ZaharaMichuzi amemtaka ‘kocha’ mkuu wa ‘timu’ ya #GeitaGold, #HemediSuleiman, kufika ofisini kwake kw...
20
Benzema akanusha kuwa gaidi
Mchezaji wa ‘klabu’ ya Al Ittihad, Karim Benzema amekanusha vikali taarifa zinazosambaa kwamba yeye ni miongoni mwa watu wanaounga mkono magaidi, ikiwa ni  ba...
19
Ratcliffe kununua hisa Man United
Mfanyabiashara kutokea Uingereza Sir Jim Ratcliffe anatarajia kununua asilimia 25 ya hisa katika ‘klabu’ ya Manchester United. Endapo Ratcliffe ‘atasaini&rsq...

Latest Post