03
Ray C awagawa wasanii chipukizi Bongo
Ikiwa imepita siku moja tangu mwanamuziki wa zamani wa Bongo Fleva ambaye kwa sasa anaishi jijini Paris, Ufaransa Rehema Chalamila ‘Ray C’ kuwataka wasanii wenye u...
01
Shilole: Ninafanya makusudi kuongea kingereza
Msanii wa filamu na muziki wa kizazi kipya, Shilole amesema kukosea kwake kuzungumza Kiingereza huwa anafanya makusudi ili watu wacheke. Shilole anayejishughulisha pia na bias...
17
Ronaldo hataki kupigiwa simu usiku
Mchezaji wa ‘klabu’ kutoka Saudi Arabia ya Al-Nassr, Cristiano Ronaldo ameweka wazi kuwa hapendi kuongea na simu ifikapo saa nne au tano usiku huku akitaja sababu ...
11
Mfahamu Jogoo aliyeburuzwa mahakamani kisa kuwika usiku
Jogoo mmoja nchini Ufaransa aliyepewa jina la ‘Maurice’ aliburuzwa Mahakamani kutokana na kusababisha kelele wakati wa usiku jambo ambalo lilipelekea baadhi ya maj...
16
Chino na Marioo wamaliza bifu lao
Baada ya kuripotiwa kuwa na bifu miezi kadhaa iliyopita, hatimaye Chino, Marioo wameonekana pamoja na kumaliza tofauti zao. Wawili hao walionekana pamoja wakitumbuiza nyimbo a...
11
Utafiti: Mitoko ya usiku kwa wanaume inapunguza matatizo ya afya ya akili
Kwa mujibu wa utafiti wa mwanansaikolojia kutoka Chuo Kikuu cha Oxford Dk. Robin Dunbar, unaeleza kuwa mitoko ya usiku ya wanaume ...
24
Hotel yenye gharama, kulala usiku mmoja ni zaidi ya 744 milioni
Kama tunavyojua wapo baadhi ya watu pesa kwao sio kitu, sasa tumeamua kuwasogezea sehemu ambayo wataenda kuenjoy maisha, ambapo ni katika hoteli yenye gharama zaidi duniani il...
20
Abadili ndege kuwa hoteli ya kifahari
Mfanyabiashara maarufu kutoka nchini Urusi ambaye kwasasa anaishi China, Felix Demin (32) ameripotiwa kubadirisha ndege iliyostaafu kufanya shuguli zake za kusafirisha abiria ...
04
Baada ya miaka miwili Bieber aonekana jukwaani
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani #JustinBieber amefanya onesho lake la kwanza baada ya miaka miwili kuwa kimya bila kuoneka kwenye majukwaa. Justin alipanda kujwaani usikuwa...
05
Polisi watoa ripoti ajali aliyopata Michael B. Jordan
Kufuatia ajali ya gari aliyopata muigizaji Michael B. Jordan, weekend iliyopita sasa polisi wametoa ripoti kuhusiana na maendeleo ya muigizaji huyo na kueleza kuwa yupo salama...
29
The Mafik warudi tena, Waanza na Mungu
Baada ya ukimya wa miaka minne, hatimaye kundi la muziki The Mafik limerejea rasmi likiwa na wasanii wanne huku watatu wakiwa wapya na msanii #Hamadai pekee ndiye msanii wa za...
12
Harmonize ajibebea tuzo tatu Marekani
Msanii wa muziki nchini #Harmonize ameshinda tuzo tatu nchini #Marekani usiku wa kuamkia leo Harmonize ameshinda tuzo hizo za #AEUSA kwenye vipengele vya Artist of the Year 20...
04
Kwa mara ya kwanza video ya mauaji ya Tupac yaoneshwa
Kufuatia tukio ya kukamatwa kwa rafiki wa aliyekuwa mwanamuziki Tupac, hatimaye kwa mara ya kwanza ushahidi wa tukio hilo umeweza kuoneshwa. Picha ambazo hazijawahi kuonekana ...
28
Samatta afungua ‘Akaunti’ ya mabao
Mchezaji wa ‘klabu’ ya Paok Fc na nahodha wa ‘timu’ ya taifa Tanzania Mbwana Samatta amefungua ‘akaunti’ yake ya mabao akiwa na ‘timu...

Latest Post