04
Cardi B akabiliwa na kesi ya ukiukaji hakimiliki
Mwanamuziki wa Marekani Cardi B ameshitakiwa na wasanii wawili nchini humo kwa madai ya kutumia baadhi ya mistari yao katika wimbo wake wa ‘Enough’ bila kuwapa taa...
26
Ngoma ya ‘Not like Us’ ya Lamar inastahili kuwania Grammy
Mkurugenzi Mtendaji wa tuzo maarufu Marekani za Grammy,  Harvey Mason Jr ameweka wazi kuwa wimbo wa ‘Rapa’ Kendri...
24
Aliyehusika mauaji ya Pop Smoke aachiwa huru
Kati ya watuhumiwa wanne walioshitakiwa katika mauaji ya ‘rapa’ wa Marekani J. Christopher Smith maarufu #PopSmoke ameripotiwa kuachiwa huru kutoka jela, baada ya ...
13
Watoto wamkutanisha Jennifer Lopez na Ben Affleck
Baada ya kuwepo kwa tetesi za mwanamuziki #JenniferLopezi na mumewe #BenAffeck kutengana na kuuza nyumba yao waliyokuwa wakiishi, hatimaye wawili hao wamekutana tena katika ma...
10
Jennifer Lopez na Ben wauza nyumba, Wadaiwa kuachana
Mwanamuziki wa Marekani Jennifer Lopez na mumewe Ben Affleck wanadaiwa kuachana baada ya kuuza nyumba yao waliyoijenga pamoja kwa dola 60 milioni. Kwa mujibu wa tovuti ya TMZ ...
05
Usher awakosha mashabiki kupiga show kwenye baridi kali
Mwanamuziki maarufu kutoka nchini Marekani, Usher Raymond amewafurahisha mashabiki wake kwa kuendelea na show licha ya hali mbaya ya hewa ya baridi kali iliyotokea akiwa katik...
18
Beyonce ampongeza kocha Dawn
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani #Beyonce amempongeza ‘kocha’ wa mpira wa kikapu #DawnStaley kwa kumpa maua baada ya ushindi wake mpya wa kuwa ‘kocha&rsquo...
18
Kanye kuchunguzwa na Polisi
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani Kanye West ameripotiwa kuchunguzwa na polisi wa LAPD kufuatia tukio lililotokea usiku wa Jumanne baada ya mwanaume mmoja kudaiwa kums...
14
Mzize siyo kufunga tu, Hadi kuimba anajua
Mchezaji wa ‘klabu’ ya #Yanga #ClementMzize ameonesha kuwa siyo kupiga chenga na kufunga tuu bali hadi kuimba yuko vizuri, hii inakuja baada ya kuonekana akiimba w...
13
Usher aweka rekodi super bowl show
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, #Usher ameka rekodi kupita Show yake alio ifanya siku ya Jumapili katika Fainali za Super Bowl LVIII ndio show iliyotazamwa zaidi Kwenye hi...
24
Jamie Foxx akanusha tuhuma zinazo mkabili
Baada ya muigizaji na mchekeshaji Jamie Foxx kutuhumiwa na mwanadada Jane Doe kwa kumnyanyasa kingono, hatimaye muigizaji huyo amekanusha shutuma hizo.Msemaji wa Jamie ameiamb...
05
Nyota wa ‘Beverly Hills’ aitamani talaka
Muigizaji kutoka nchini Marekani Kyle Richard anadai kuwa kutengana na mume wake kutawaathiri watoto wake kwa kiasi kikubwa ingawa itamfanya yeye kuwa na nguvu mpya. Kwa mujib...
04
Arnold Schwarzenegger kufikishwa mahakamani
Muigizaji mkongwe kutoka nchini Marekani Arnold Schwarzenegger anatarajia kufikishwa mahakamani baada ya kumgonga na gari Mwanamama Joanne Flickinger.Kwa mujibu wa #TMZ inaele...
16
Penzi la Justin Bieber na Hailey bado lina nguvu
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Justin Bieber amethibitisha kuwa mapenzi yake na Hailey hayajafa, huku akiamua kujitoa kumsaidia mpenzi wake katika kazi zake za sanaa. Kwa ...

Latest Post