27
Mainoo aonesha makali yake timu ya Taifa
Mchezaji wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, #KobbieMainoo amebuka kuwa nyota wa mchezo siku ya jana katika ‘timu’ yake ya Taifa #England baada ya kucheza...
07
Kocha wa Nottingham akalia kuti kavu
‘Klabu’ ya #NottinghamForest inadaiwa kuwa ipo mbioni kumfuta kazi mwalimu #SteveCooper kufuatia kipigo cha magoli 5-0 dhidi ya timu ya #Fulham kwenye mchezo wa Li...
03
Jezi ya Yanga yapepea kwenye video ya AFCON
‘Jezi’ ya ‘klabu’ ya #Yanga imetumika kwenye video ya promo ya michuano ijayo ya mataifa ya Afrika #AFCON, inayotarajiwa kufanyika nchini Ivory Coast k...
27
Rais wa TFF akanusha kumuita samatta timu ya Taifa
Rais wa TFF, #WallaceKaria akanusha kumchagua #Samatta kuwa katika kikosi cha Taifa Stars, baada ya kuwepo kwa tetesi zinazodai Rais huyo kamchagua mchezaji huyo kuwepo katika...
19
Bruno akanusha kutimkia Saudi Arabia
Baada ya kusambaa kwa taarifa kuwa mchezaji #BrunoFernandes huenda akatimkia nchini #SaudiArabia mwisho wa msimu, staa huyo amekanusha na kusema anajisikia furaha kuendelea ku...
19
Kane hashikiki Ulaya
Baada ya watu wengi kuona pengine asingekuwa na makali baada ya kujiunga na ‘klabu’ ya #BayernMunich akitokea katika ‘klabu’ ya #Tottenham, #HarryKane ...
16
Ancelotti: Bado nipo Real Madrid
‘Kocha’ wa  ‘klabu’ ya #RealMadrid, Carlo Ancelotti amekanusha taarifa za yeye kwenda kuitumikia ‘timu’ ya Taifa ya Brazil msimu ujao....
16
Wachezaji wa Taifa stars baada ya ‘mechi’ ibada
Baadhi ya wachezaji na sehemu ya benchi la ufundi la timu ya Taifa ya Tanzania #TaifaStars, walienda kufanya ibada ya Umrah katika msikiti mtukufu wa Makkah ambao upo nchini S...
10
Trossard aondolewa ‘timu’ ya Taifa
Mchezaji wa ‘klabu’ ya #Arsenal, LeandroTrossard ameondolewa katika kikosi cha ‘timu’ ya Taifa ya Ubelgiji kinachoenda kushiriki michuano ya kufuzu EUR...
05
Jesus apewa nafasi ya Antony aliyedaiwa kumpiga ex wake
Mchezaji mshambuliaji wa ‘klabu’ ya Arsenal, Gabriel Jesus ameitwa kwenye kikosi cha ‘Timu’ ya Taifa ya Brazil kwa ajili ya maandalizi ya ‘mechi&...
05
Antony atolewa ‘timu’ ya taifa kwa madai ya kumpiga ex wake
‘Winga’ kutoka ‘klabu’ ya Manchester United Antony ameondolewa kwenye kikosi cha ‘timu’ yake y...
01
‘Mechi’ mbili zambeba Johora kuchaguliwa AFCON
Mambo yameiva Taifa Stars baada ya ‘kipa’ wa #GeitaGold, ambaye alishawahi kicheza katika ‘timu’ ya #Yanga, #ErickJohora kuitwa kwa mara ya kwanza kati...
30
Onana atua Cameroon
'Kipa' wa zamani wa ‘klabu’ Manchester United, Andre Onana, amerejeshwa tena kwenye kikosi cha 'Timu' ya Taifa ya Cameroon miezi 10 baada ya kustaafu kucheza 'soka...
02
Abdi Banda atambulishwa Richard Bay FC
Mlinzi wa kati  wa Taifa stars, Abdi Banda  ambaye amewahi kupitia ‘vilabu’ mbalimbali ikiwemo Simba SC, Mtibwa Sugar, Chippa United ametambulishwa rasmi...

Latest Post