10
Enzi za uhai wake hakuchoka kuitumikia Tasnia ya filamu
Mwigizaji wa Marekani, James Earl Jones ambaye alipata umaarufu kupitia filamu kama ‘Coming to America’ amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 93.Taarifa ya kifo c...
07
Uwoya agoma kufuta tatoo hadi Roho Mtakatifu amwambie
Mwigizaji Irene Uwoya amesema licha ya kuingia kwenye maisha ya wokovu hawezi kufuta tatoo zilizopo mwilini mwake hadi Roho Mtakatifu atapomwambia.Uwoya ameyasema hayo leo Sep...
07
Faraja ya Tasnia ni zaidi ya tamasha, mastaa wanyoosha mikono juu
Mastaa mbalimbali nchini waliofika kwenye tamasha la Faraja ya Tasnia linalolenga kuwaenzi wasanii waliofariki dunia, wameonesha kuvutiwa na tamasha hilo ambalo limeanzishwa n...
06
Mawaziri kulinogesha tamasha la Faraja Ya Tasnia
Mawaziri watano sambamba na Mshauri wa Rais, Angellah Kairuki na Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa wanatarajiwa kushiriki Tamasha la Faraja y...
02
Steve Nyerere amkosha Msigwa Tamasha la Faraja ya Tasnia
Ikiwa zimebaki siku tano kufikia kilele cha tamasha la "Faraja Ya Tasnia" linalohusisha kuwakumbuka wasanii waliofariki dunia lililoandaliwa na mwigizajia Steve Nyerere, Katib...
28
Tamasha la kuwakumbuka wasanii marehemu Septemba 7
Kwa mara ya kwanza nchini kutakuwa na tamasha la kuwakumbuka wasanii waliotangulia mbele ya haki linaloitwa ‘Faraja ya Tasnia’ liliandaliwa na mwigizaji na Mwenyek...
16
Kajala: Maisha ni yangu mazishi ya kwenu
Mwigizaji wa Bongo movie #KajalaMasanja amewatolea povu watu wanaofuatilia na kutaka kumuharibia jina lake amedai kuwa maisha ni yake ila mazishi ni yao. Kajala ameyasema hayo...
27
Hawa ndiyo wasanii walionyakua tuzo nyingi mwaka 2023
Ikiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2023, wapo baadhi ya wasanii ambao wanatamani mwaka huu uishe ili wajaribu tena mwakani lakini wapo waliobahatika kuandika historia  kwen...
06
Usichokijua kuhusu kinjunga na vijana
Aisha CharlesHellow!! my people once again tunakutana tena katika fashion hapahapa katika jarida letu pendwa la Mwananchi Scoop lengo letu sisi ni kukujuza yale yote yanayojir...
04
Phina: Muziki haujawahi kuwa rahisi kwa mtoto wa kike
Akiwa katika interview na mmoja ya chombo cha habari mwanamuziki #Phina ametoa yamoyoni akidai kuwa muziki haujawahi kuwa salama na rahisi kwa mtoto wa kike. Aidha Mwanamziki ...
07
Pete alia na ndoa za waigizaji Nigeria kuvunjika
Muigizaji mkongwe kutoka nchini Nigeria Pete Edochie ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 76, ameonesha kusikitishwa na ongezeko la kuvunjika kwa ndoa za baadhi ya waigizaji movi...
08
Safari ya Dj Mamie katika tasnia yake
Mamboz guys!! Hivi unajua hii ni weekend nyengine mwamba ni kawaida yetu lazima tukuwekee kitu kizuri katika michezo na burudani ili usikae kinyonge mtu wangu wa nguvu. Leo ka...
04
Wachezaji wa kikapu wanaotesa katika tasnia ya muziki
Aloooh, happy new month bwana. Ikiwa tayari tumeingia katika mwezi wa mahaba bwana vipi kinaeleweka au kikubwa pumzi tu? hahahaha karibu sana kwenye makala za michezo na burud...

Latest Post