15
Kaeda aishukuru TFF kwa tuzo, aahidi kuishangilia Yanga popote
Nyota wa zamani wa Yanga Princess ambaye kwa sasa anakipiga UTAH ya Marekani, Kaeda Wilson maarufu Mzungu, amesema ataendelea kuishangilia na kuishabiki timu hiyo hata kama yu...
27
Hakimi atoa msaada kwa watoto wenye uhitaji Arusha
Mchezaji wa ‘klabu’ ya PSG Ashraf Hakimi ambaye yupo Tanzania kwa ajili ya mapumziko na kutembelea vivutio mbali mbali vya utalii, kupitia taasisi yake ya ‘A...
26
Lupita Nyong o aunga mkono maandamano Kenya
Mwigizaji kutoka Marekani mwenye asili ya Kenya Lupita Nyongo amelipongeza kundi la vijana la ‘Gen Z’ na wananchi wote nchini humo kwa kuchukua uamuzi wa kuandaman...
20
Zuchu amwagia sifa Diamond, Amshukuru Chris Brown
Baada ya mwanamuziki wa Marekani Chris Brown ku-share video kupitia mtandao wake wa TikTok akicheza ngoma ya ‘Komasava’ ya Diamond, msanii Zuchu amemwagia sifa Sim...
12
Ray C: Roho yangu inasita kurudi Tanzania
Ikiwa ni mwendelezo wa historia ya mwanamuziki mkongwe wa Bongo Fleva nchini, Rehema Chalamila maarufu Ray C kueleza sababu ya kuondoka Tanzania na kuhamia Paris, Ufaransa, sa...
30
Snoop Dogg awashukuru Lamar na Drake
Mwanamuziki na producer wa #Marekani Snoop Dogg amewashukuru wasanii wenzake Kendrick Lamar na Drake kwa kurudisha muziki kwenye mstari.Akiwa kwenye mahojiano yake na ‘E...
23
Cassie avunja ukimya, awashukuru mashabiki
Baada ya kusambaa kwa video ya mwanamuziki na dansa Cassie akishambuliwa na aliyekuwa mpenzi wake Diddy, hatimaye Cassie amevunja ukimya na kutoa neno la shukrani kwa mashabik...
18
Kajala akubali yaishe, Aomba radhi kwa mzazi mwenziye Majani
Mwigizaji Kajala Masanja amemuomba radhi mzazi mwenziye Paul Matthysse maarufu kwa jina la 'P Funk Majani' kutokana na migogoro waliyokuwa wakipitia kwa muda mrefu. Kajala ame...
02
20 percent: Siwezi kujishusha kwa sababu ya pesa
Aisha Charles Isikiwapo ngoma iitwayo Mama Neema au Money Money, wengi inawakumbusha miaka 13 iliyopita, kwa sababu ndiyo nyimbo zilizokuwa zikifanya poa kutoka kwa mwanamuzik...
02
Vanessa aelezea hali ya Mimimars
Kutokana na taarifa zinazoendelea kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na hali ya kiafya ya msanii #MimiMars, baada ya kudaiwa kupata ajali, Vanessa Mdee ambaye ni dada yake a...
22
Davido awashukuru waandaaji wa Grammy
Mkali wa Afrobeat kutoka nchini #Nigeria, #Davido ametoa shukurani kwa waandaaji wa Tuzo za #Grammy baada ya jina lake kuwa miongoni mwa wateule wa tuzo hizo.Kupitia mahojiano...
07
Mr Ibu akatwa mguu
Muigizaji maarufu kutoka nchini Nigeria, Mr Ibu amekatwa mguu wake mmoja kutokana na ugonjwa unaomsumbua ambapo familia haijaweka wazi maradhi yanayo msumbua muigizaji huyo. K...
06
Matokeo ya Yanga kicheko kwa Zamaradi, Amshukuru Hersi
Zamaradi Mketema aendelea kuonesha furaha aliyonayo baada ya mchezo wa jana Simba kutandikwa bao tano na Yanga, kutokana na furaha hiyo Zamaradi ametoa shukrani kwa Rais wa Ya...
09
Yanga kutoa zawadi ya mchezaji bora kila mwezi
Akizungumza mbele ya waandishi wa habari, Rais wa ‘klabu’ ya #YangaSC, Eng Hersi Said ameshukuru shirika la #NIC kwa kuamini na kuchagua kufanya kazi na ‘kla...

Latest Post